uandikishaji
24 November 2025, 2:57 pm
Serikali yatumia mkakati huu kuboresha huduma ya maji Dodoma
Wizara itatoa kipaumbele katika kuimarisha huduma kwa wateja ili kupunguza kero na malalamiko ya wananchi. Na Selemani KodimaSerikali kupitia Wizara ya Maji imeanza kutekeleza mkakati maalum wa kuboresha huduma ya maji katika Jiji la Dodoma kwa miradi ya muda mfupi…
8 October 2025, 2:37 pm
Mhandisi Aron awasisitiza watumishi kuboresha huduma kwa wananchi
Uzinduzi huo umeonesha dhamira ya DUWASA kuendelea kujenga mahusiano bora na wananchi, huku ikiboresha huduma kwa kuzingatia maoni na mahitaji ya wateja wake. Na Selemani Kodima. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi…
17 April 2025, 5:59 pm
Watumishi wa maji watakiwa kushirikisha wananchi tafiti za maji
Miradi hiyo itasaidia kuongeza hali ya uzalishaji maji huku akisema zaidi ya Bilioni 3 zimetumika kutekeleza mradi wa maji Nala. Na Mariam Kasawa.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuhakikisha wanaishirikisha jamii wanapofanya tafiti za kina…
15 April 2025, 5:41 pm
Wizara ya Maji kutatua kero ya maji Dodoma
Eneo la Nzuguni mpaka sasa lina Visima Tisa vilivyokamilika ambavyo vina uwezo wa kuzalisha maji wastani wa lita milioni Ishirini kwa siku. Na Yussuph Hassan.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amesema licha ongezeko la watu katika jiji la Dodoma lakini…
6 August 2024, 6:13 pm
DUWASA kuendelea kushirikiana na mamlaka za serikali kufanikisha upatikanaji wa…
Itaendelea kushirikiana na mamlaka za serikali za mitaa katika kuhakikisha wanafanikisha upatikanaji wa maendeleo kwa wananchi. Na Seleman Kodima.Katika kuhakikisha wanatekeleza kauli mbiu ya Mwaka huu ya Maonesho ya wakulima na wafugaji Nane nane 2024,Mamlaka ya Maji safi na usafi…
17 July 2024, 5:45 pm
Wakazi wa Nzuguni waombwa kuwa wavumilivu kwa siku kumi maboresho ya Tanki la ma…
Mhandishi Aron amewaomba wananchi kuhifadhi na kutumia maji kwa uangalifu. Na Mariam KasawaMkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amewaomba wananchi wa Nzuguni na maeneo yanayohudumiwa na mradi wa maji wa Nzuguni…
15 April 2024, 9:34 pm
Msukumo mkubwa wa maji wachangia kupasuka kwa mabomba
Duwasa imeendelea kuhakikisha inakabiliana na changamoto ya upotevu wa maji ambao husababishwa na kupasuka kwa miundombinu ya Mabomba ya maji kutokana na presha kubwa ya maji. Na Mindi Joseph. Msukumo mkubwa wa maji umetajwa kuchangia Kupasuka kwa miundombinu ya mabomba…
27 March 2024, 5:10 pm
Uzalishaji wa maji Nzuguni waongeza asilimia 11.7 ya maji
Mradi wa Maji Nzuguni umegharimu bilion 4.3 lengo likiwa ni kuboresha huduma ya usambazaji maji katika kata na jiji la Dodoma kwa ujumla. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Mradi wa awamu ya kwanza wa Visima 5 vya maji Eneo la nzuguni…
26 March 2024, 7:13 pm
Utupaji wa taka ngumu katika mifumo ya maji taka wachangia kuziba kwa mifumo
Mhandishi Aron Joseph akiwa sambamba na wataalamu kutoka Mamlaka hiyo na Viongozi wa kata hiyo kufanya Ziara katika mtaa huo ambao unakabiliwa na changamoto ya kuziba kwa mifumo ya maji taka . Na Seleman Kodima.Utupaji taka ovyo katika mifumo ya…
24 January 2022, 3:30 pm
DUWASA kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji
Na; Benard Filbert. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Dodoma DUWASA inaendelea na kampeni yake ya kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji ili kukomesha vitendo hivyo. Hayo yanajiri kufuatia kuwepo kwa uharibifu wa baadhi ya miundombinu ya…