Radio Tadio

TMDA

24 June 2025, 12:36 pm

UDOSO yazindua mfuko maalum ufadhili wa masomo

Katika safari ya kutafuta elimu bora, bado kuna kundi la vijana ambao hupambana na changamoto za kiuchumi. Na Mariam Kasawa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOSO)  imezindua mfuko maalum wa kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kumudu gharama za masomo.…

14 August 2023, 4:24 pm

Usugu wa dawa watajwa kugharimu maisha ya binadamu

Inakadiriwa kuwa kama hatua madhubuti hazitachukuliwa janga hili litaua watu milioni 10 kwa mwaka ifikapo 2050 kwani tathmini iliyofanywa mwaka 2019 ilionesha uwepo na vifo vya watu takribani milioni 1.27, ambavyo vilisababishwa moja kwa moja na vimelea sugu kwa dawa.…

10 August 2023, 1:37 pm

TMDA yaanzisha mfumo wa ufuatiliaji wa usalama wa dawa

Pamoja na hayo TMDA imesisitiza Wagonjwa na jamii kutoa taarifa mapema kwenye hospitali ,kituo cha afya,zahanati au duka la dawa ambapo matibabu yalitolewa ambapo utoaji wa taarifa za madhara ya dawa ni jukumu la kila mmoja ili kusaidia kuboresha sekta…