Radio Tadio

pamba

24 August 2023, 1:44 pm

Zaidi ya asilimia 95 ya pamba yanunuliwa Bunda

Zoezi la ununuzi wa pamba linaelekea ukingoni na tayari kilo milioni saba na laki tatu  na elfu hamsini na sita zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya tani elfu 7 za pamba tayari zimenunuliwa katika vituo…