Radio Tadio

NIDA

15/01/2026, 14:20

Wananchi waipongeza serikali ujio wa mradi wa maji Msanga

Wananchi hao wamefurahishwa na ujio wa mradi huo, huku wakiongeza kuwa mradi huo utawapunguzia umbali ambao walikuwa wakitembea kutafutamaji safi na salama. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Msanga Wilayani Chamwino wameipongeza Serikali Kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa…

13/01/2026, 13:50

Ukosefu wa maji safi waibua hofu Matembwe

Wakazi hao wamekumbwa na hofu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwani maji ya mvua yanayotiririka kutoka maeneo mbalimbali yanachanganyika na maji ya mto huo, hali inayoleta hofu ya matumizi ya maji yasiyo safi na salama. Na Victor Chigwada. Wakazi wa…

02/10/2025, 11:05

Wakazi Mjelo waomba suluhisho la kisima cha maji

Hali hiyo inatokea zaidi ya miaka mitano tangu kuanzishwa kwa mradi mkubwa wa kisima cha maji, ambao ulitarajiwa kumaliza tatizo la uhaba wa maji safi na salama katika vijiji vya kata hiyo. Picha na RUWASA. Wameeleza kuwa hali hii imeendelea…

28/10/2023, 14:10

Zoezi la ugawaji vitambulisho vya NIDA lazinduliwa

Wananchi wote ambao hawajasajiliwa kufika kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kupata utaratibu awali kwa ajili ya kusajiliwa ili na wao waweze kupata vitambulisho hivyo kama wengine Na Musa Mtepa; Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Ahmadi Abasi, Oktoba 27,2023…

05/06/2023, 18:16

NIDA, shirika la Posta waingia ubia usambazaji vitambulisho

NIDA imeingia ubia na shirika la Posta katika zoezi la usambazaji wa vitambulisho. Na Bernadetha Mwakilabi. Wananchi wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vitambulisho vya taifa (NIDA) ikiwa ni njia pekee ya kufanikisha lengo la serikali la kuboresha utoaji wa huduma…

17/05/2023, 15:03

NIDA yatoa vitambulisho 62,258 Kongwa

Changamoto wanazopitia wananchi katika vitambulisho vya Taifa ni pamoja na kushindwa kutimiza vigezo na masharti ya kujaza fomu za kuomba vitambulisho hivyo hali inayopelekea ofisi kushindwa kufanya kazi yake kwa ufanisi. Na Bernadetha Mwakilabi. Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA)…