Radio Tadio

Mbolea

18 January 2024, 20:27

DC Malisa: Wahujumu uchumi mbolea ya ruzuku kukiona Mbeya

Na Hobokela Lwinga Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mkoani Mbeya Mh.Beno Malisa ametoa onyo kali kwa wakulima,mawakala wa mbolea na wanaoshiriki kuhujumu mpango wa mbolea ya ruzuku iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan…

31 October 2023, 11:49 am

Wakulima Wagomea mbolea ya Ruzuku

Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Chinangali 2 Mkoani Dodoma wamegoma Kujisajili kuchukua mbolea za ruzuku zinazotolewa na Serikali kutokana na kile wanachodai zinaua Mashamba yao. Hayo yamebainika baada ya Dodoma Tv kufika eneo hilo na kuzungumza…

1 May 2023, 1:08 pm

Watanzania wahimizwa kutumia mbolea isiyo zeesha ardhi

Mbolea inayo zalishwa katika kiwanda hiki cha Intracom kinachopatikana katika kata ya Nala jijini Dodoma inatengenezwa kwa samadi za wanyama na haizeesha ardhi.  Na Fred Cheti Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh. Jabair Shekimweri amewataka wakazi wa Dodoma na watanzania…