makete
11 Disemba 2025, 5:19 um
Umuhimu wa milima katika mazingira
Na Farashuu Abdallah.Kila Desemba 11 ni maadhimisho ya Siku ya Milima Duniani ambayo lengo lake ni kuhamasisha ulimwengu kuhusu umuhimu wa milima kwa maisha ya binadamu, mazingira na maendeleo endelevu. Farashuu Abdallah amezungumza na baadhi ya wananchi mkoani Dodoma ili…
15 Machi 2024, 6:16 um
NEMC na Halmashauri ya jiji la Dodoma zaagizwa kufanya tathhmini katika milima
kwa mujibu wa sheria ya mazingira ibara ya 58 ibara ndogo ya 2 kifungu kidogo cha D Kinatoa maelekezo ya kulinda vilima vyote vya jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), pamoja…
Machi 6, 2023, 6:39 um
Maandalizi ya Kilimo cha Ngano yaanza Makete
Trekta likiwa shambani wakati wa maandalizi ya Mashamba ya Ngano Kijiji cha Mbalatse
Machi 4, 2023, 7:55 um
Wanafunzi Mwakavuta Sekondari wahimizwa kuishi katika Mungu
Wanafunzi wahitimu wakiimba Wimbo wa kuwaga wanafunzi wenzao wanabaki kuendelea na Masomo
Machi 3, 2023, 2:51 um
Ukaguzi wa Mapato Geti la Mfumbi Makete
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete William Makufwe akiangalia Magunia ya Viazi geti la Mfumbi
Machi 3, 2023, 2:47 um
Tani 80 za mbegu ya ngano zapokelewa Makete
oezi la kupokea ngano likifanyika nje ya Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Makete
Machi 3, 2023, 2:42 um
Elimu ya Afya na Lishe yatolewa kwa Wanawake
Afisa Lishe Wilaya ya Makete Bi. Jackline Nanauka kulia akiwa kwenye zoezi la upimaji wa urefu kwa Umri kwa watoto waliochini ya miaka mitano Kijiji cha Ivalalila
Machi 2, 2023, 12:48 um
Elimu kuhusu Mikopo yatolewa kwa wananchi wa Tarafa ya Ikuwo
Elimu kuhusu Mikopo yatolewa kwa wananchi wa Tarafa ya Ikuwo
Febuari 16, 2023, 1:52 um
Kamati ya Fedha Makete yakagua miradi ya Zaidi yha Bilioni 1.5
miradi ya zaidi ya bilioni 1.5