Radio Tadio

Mafunzo

10 November 2025, 3:36 pm

Mmomonyoko wa maadili wapelekea vijana kutoaminika

Kwa mujibu wa tafiti zilizotajwa, mitandao ya kijamii inaonekana kuwa na athari kubwa zaidi kwa vijana walioko katika kipindi cha kubalehe, ikilinganishwa na muziki, filamu, au hata marafiki wa karibu. Na Farashuu Abdallah.Jamii imetakiwa kuwekeza kwa dhati katika malezi ya…

5 November 2025, 3:37 pm

Ukosefu wa maadili ya dini kwa vijana ni hatari kwa Taifa

Wazazi wana jukumu la kuwapeleka watoto wao kuhudhuria madarasa ya dini ili kujenga jamii yenye hofu ya Mungu. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maadili ya kidini kwa watoto na vijana kunaweza kuhatarisha usalama wa jamii na hata Taifa…

3 October 2025, 10:51 am

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia maadili kazini

Picha ya pamoja ya watumishi wa umma na Naibu Katibu Mkuu Bi. Hilda Kabissa alipokuwa akifungua kikao kazi cha sita cha wadau wa usimamizi wa maadili ya kitaaluma na utendaji. Picha na Selemani Kodima. Hili linajiri baada ya Ofisi ya…

29 September 2025, 3:10 pm

Mavunde: Tusimame katika taaluma, tufanye kazi bila upendeleo

Kongamano hilo limewakutanisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mkoani Dodoma na maeneo jirani, kwa lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna ya kuripoti habari za uchaguzi kwa ufanisi, pamoja na kuongeza ulinzi na usalama wa waandishi…

September 21, 2025, 8:40 am

JKT Itaka wafundisha utengenezaji mkaa mbadala

Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…

11 January 2024, 11:50

Walimu Songwe DC wapewa mafunzo mtaala ulioboreshwa

Na mwandishi wetu, Songwe Walimu kutoka Kata za Saza, Mkwajuni na Mwambani Wilayani Songwe wamepewa mafunzo ya mtaala ulioboreshwa yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Mkwajuni. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Wilaya ya…

11 December 2023, 1:29 pm

TADIO yawafikia wanahabari Loliondo

Baada ya mtandao wa redio TADIO ambalo ni jukwaa linalounganisha redio za kijamii Tanzania kufanikisha mafunzo ya wanahabari ya namna yakuchapisha maudhui mtandaoni kwa Kanda ya kaskazini yaliyofanyika kwa siku mbili Desemba 7-8, 2023 sasa wameanza kuwapatia mafunzo wale waliosalia…

8 December 2023, 11:16 pm

Wanachama TADIO wanufaika na mafunzo ya kusimamia mitandao

Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…

8 December 2023, 8:43 am

Tyc yaendeleza mafunzo kwa vijana Kilimanjaro

Vijana ambao ni wanufaika wa mradi wa boresha maisha kwa vijana wakiwa katika mafunzo. Vijana zaidi ya ishirini katika mkoa wa Kilimanjaro wamepatiwa mafunzo na shirika lisilo la serekali lijulikanalo kama Tanzania Youth Coalition linalotekeleza mradi wa boresha maisha kwa…