Radio Tadio

Mafunzo

17/02/2026, 17:12

Wananchi watakiwa kuwaripoti viongozi wanaokiuka maadili

Mwananchi yeyote anao wajibu wa kutoa taarifa inayo muhusu kiongozi wa umma ambaye ameonesha mwenendo usio faa katika jamii na kiongozi huyo kuchukuliwa hatua za kinidhamu pindi atakapo gundulika kuwa ni kweli ametenda kosa la kimaadili. Na Jerome John. Wananchi…

12/02/2026, 16:37

Viongozi wa umma watakiwa kuonesha maadili mema

Vile vile afisa huyo ametoa rai kwa wananchi kutosita kutoa maoni pamoja na taarifa pindi wanapoona kuna viongozi wanakiuka misingi ya maadili ya umma na hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi ya kiongozi au viongozi hao. Na Jerome John.Viongozi wa umma…

10/11/2025, 15:36

Mmomonyoko wa maadili wapelekea vijana kutoaminika

Kwa mujibu wa tafiti zilizotajwa, mitandao ya kijamii inaonekana kuwa na athari kubwa zaidi kwa vijana walioko katika kipindi cha kubalehe, ikilinganishwa na muziki, filamu, au hata marafiki wa karibu. Na Farashuu Abdallah.Jamii imetakiwa kuwekeza kwa dhati katika malezi ya…

21/09/2025, 08:40

JKT Itaka wafundisha utengenezaji mkaa mbadala

Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…

11 Januari 2024, 11:50

Walimu Songwe DC wapewa mafunzo mtaala ulioboreshwa

Na mwandishi wetu, Songwe Walimu kutoka Kata za Saza, Mkwajuni na Mwambani Wilayani Songwe wamepewa mafunzo ya mtaala ulioboreshwa yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Mkwajuni. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Wilaya ya…

11 Disemba 2023, 1:29 um

TADIO yawafikia wanahabari Loliondo

Baada ya mtandao wa redio TADIO ambalo ni jukwaa linalounganisha redio za kijamii Tanzania kufanikisha mafunzo ya wanahabari ya namna yakuchapisha maudhui mtandaoni kwa Kanda ya kaskazini yaliyofanyika kwa siku mbili Desemba 7-8, 2023 sasa wameanza kuwapatia mafunzo wale waliosalia…