Radio Tadio

Mafunzo

11 January 2024, 11:50

Walimu Songwe DC wapewa mafunzo mtaala ulioboreshwa

Na mwandishi wetu, Songwe Walimu kutoka Kata za Saza, Mkwajuni na Mwambani Wilayani Songwe wamepewa mafunzo ya mtaala ulioboreshwa yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Mkwajuni. Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Awali na Msingi Wilaya ya…

11 December 2023, 1:29 pm

TADIO yawafikia wanahabari Loliondo

Baada ya mtandao wa redio TADIO ambalo ni jukwaa linalounganisha redio za kijamii Tanzania kufanikisha mafunzo ya wanahabari ya namna yakuchapisha maudhui mtandaoni kwa Kanda ya kaskazini yaliyofanyika kwa siku mbili Desemba 7-8, 2023 sasa wameanza kuwapatia mafunzo wale waliosalia…

8 December 2023, 11:16 pm

Wanachama TADIO wanufaika na mafunzo ya kusimamia mitandao

Mabadiliko ya teknolojia yanakua kwa kasi hivyo TADIO inalazimika kutoa mafunzo mara kwa mara ili kubabiliana na mabadiliko hayo Na Joel Headman Arusha Muunganiko wa redio jamii Tanzania TADIO umekamilisha mafunzo ya siku mbili kwa wadau wa redio wanachama wa…

8 December 2023, 8:43 am

Tyc yaendeleza mafunzo kwa vijana Kilimanjaro

Vijana ambao ni wanufaika wa mradi wa boresha maisha kwa vijana wakiwa katika mafunzo. Vijana zaidi ya ishirini katika mkoa wa Kilimanjaro wamepatiwa mafunzo na shirika lisilo la serekali lijulikanalo kama Tanzania Youth Coalition linalotekeleza mradi wa boresha maisha kwa…

17 November 2023, 21:21

Coplo Kinyaga:Mnaweza kuisaidia jamii kuwa salama na majanga

Na Sifael kyonjola Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya limetoa mafunzo kwa waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na majanga ya moto yanapotokea katika jamii inayowazunguka. Mafunzo hayo yametolewa na afisa habari   zimamoto na uokoaji mkoa wa Mbeya…

27 September 2023, 20:07

TADIO yawanoa wanahabari Mufindi FM

Waandishi wa habari Mufindi FM wakiwa katika mafunzo ya urushaji maudhui mtandao kupitia radio.Picha na Kelvin Mickdady Na Isaya Kigodi -Mufindi Mtandao Wa Radio Jamii nchini( TADIO) umetoa mafunzo ya Ndani kwa waandishi Wa habari Wa kituo Cha jamii Mufindi…

21 September 2023, 7:48 pm

Jeshi la Polisi Zanzibar kubadilika kiutendaji

Mafunzo ya mara kwa mara yanayotolewa kwa askari kuhusu haki za binadamu yataweza kuleta mabadiliko ya kiutendaji kwa Jeshi la Polisi Zanzibar. Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar…

20 September 2023, 16:40

Mafunzo ya TADIO baraka fm yawapa shangwe wafanyakazi

Kwenye maisha ya binadamu kujifunza ni jambo jema na ukipata nafasi inakupa fursa ya kufanikiwa kwenye maisha,TADIO ni moja ya mtandao unaotoa fursa ya kumjenga mtu ili kutumia fursa zilizopo hasa katika ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia. Na Hobokela…