kifungo
12 Disemba 2025, 4:33 um
Ukosefu wa elimu changamoto kwa makundi kupata mkopo wa 10%
wamesema kuwa endapo watapata mikopo ya asilimia kumi itawasaidia kukuza uchumi wa biashara zao kutoana na wanawae hao kuwa na mitaji midogo. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa ukosefu wa elimu kwa makundi ya wanawake na vijana ni moja ya changamoto inayokwamisha…
9 Julai 2025, 3:29 um
Wananchi mpunguzi watakiwa kuchangamkia mikopo ya 10%
Lengo kuu La mkopo wa asilimia 10 kutoka halmashauri ni kuwezesha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwakuwapatia mkopo wenye masharti nafuu ili kupunguza umaskini na kukuza ajira. Na Lilian Leopold. Wananchi kata ya Mpunguzi jijini Dodoma…
4 Juni 2025, 5:34 um
Mikopo ya asilimia 10 yawanufaisha wananchi Kizota
Ikumbukwe kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mikopo ya halmashauri ya asilimia 10 imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi. Na Lilian Leopold. Wananchi wa kata ya Kizota halmashauri ya Jiji la Dodoma wameeleza…
27 Mei 2025, 4:14 um
Elimu ya mikopo inamsaidia vipi kijana kujikwamua kiuchumi
Je vijana wanazungumziaje elimu ya mikopo ambayo imekuwa ikitolewa je inawanufaisha kwa kiasi gani. Na Seleman Kodima.Awali nimefanikiwa kufika hadi chuo cha kilimo,mifugo na maendeleo ya jamii TRACDI Nzuguni na kuzungumza na wadau mbalimbali kuhusu Je Elimu ya Mikopo inamsaidiaje…
12 Disemba 2024, 4:55 um
Kausha damu yatajwa kuumiza familia za wakopaji
Wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo hiyo. Na mwandishi wetu.Baadhi ya wananchi Jijini Dodoma wamesema mikopo umiza maarufu kama kausha damu inalenga kusaidia mahitaji muhimu ingawa wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo…
2 Disemba 2024, 11:47 mu
Serikali kutoa mikopo kwa vikundi 22 Mpwapwa
Akifungua uzinduzi huo Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Dkt Sophia Kizigo amesema Na Steven Noel.Miongoni mwa maadui watatu wa TAIFA hili tangu tupate uhuru ni ujinga ,umaskini na maradhi Ili kuhakikisha maadui hawa wanatoweka serikali imeweka mipango mbali mbali Ili…
22 Novemba 2024, 12:08 um
Watu wenye ualbino waomba kipaumbele mikopo ya 2%
Mikopo hiyo itawasaidia kazi katika mazingira rafiki na kujikinga na ugonjwa wa saratani ya ngozi .Picha na Steven Noel. Na Steven Noel. Watu wenye ualbino wilayani Mpwapwa wameiomba halmashauri ya wilaya hiyo kuwapa kipaumbele Katika mikopo ya asilimia 2 ili…
23 Septemba 2024, 8:43 um
Mikopo asilimia 10 ni salama kwa wajasiriamali
Na Steven Noel. Wajasiriamali Wilayani Mpwapwa wameshauriwa kuwa makini wakati wa kutafuta na kuomba huduma za mikopo kutoka katika taasisi mbalimbali ili kuepukana na chamgamoto za marejesho zinazoweza kujitokeza kuhusiana na masharti ya mikopo hiyo. Aidha baadhi ya wakazi wilayani…
18 Agosti 2023, 6:02 um
Miaka 15 jela kwa kusababisha kifo akijifanya daktari wa upasuaji
Mahakama kuu kanda yaTabora imetoa hukumu ya kifungo cha miaka kumi na Tano jela kwa Amos Mathias. Na Salma Abdul. Amos Mathias mkazi wa Kijiji cha Nhungulu wilayani Nzega amehukumiwa na Mahakama kuu kanda yaTabora kifungo cha miaka kumi na…
Aprili 25, 2022, 4:58 um
KAHAMA:Mwalimu ahukumiwa kifungo cha maisja jela kwa kulawiti watoto.
KAHAMA Mahakama ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imemuhukumu kifungo cha maisha jela Baraka Andrea (26) mwalimu wa Tuition baada ya kukutwa na hatia ya kulawiti watoto watatu wa shule ya Msingi Majengo wenye umri chini ya miaka 10. Akisoma…