Radio Tadio

Hombolo

20 August 2026, 17:03

NGO’s zatakiwa kuzingatia taratibu, sheria na kanuni za nchi

Mashirika yasiyo ya kiserikali ni taasisi zinazofanya kazi kwa lengo la kusaidia jamii na kutatua changamoto mbalimbali katika jamii katika sekta kama vile elimu, afya, mazingira, kupunguza umaskini na kulinda haki za binadamu. Na Leokadia Andrew. Mashirika yasiyo ya Kiserikali…

20 August 2026, 16:48

NEST yarahisisha mfumo wa zabuni nchini

Matumizi ya Mfumo wa Kitaifa wa Ununuzi wa Umma kwa njia ya kielektroniki, NEST, yameendelea kuleta matokeo katika kupunguza gharama za uendeshaji wa zabuni nchini, ambapo zaidi ya karatasi milioni 288.6 za nyaraka za zabuni zimezuiwa kuchapishwa, hatua iliyosaidia kuokoa…

8 January 2026, 16:46

Wakazi Nholi wataka uwazi wa mapato ya mgodi

Wameeleza kuwa uwazi wa mapato na matumizi yatokanayo na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi wa Nholi ni jambo la msingi katika kuimarisha uwajibikaji na ushiriki wa wananchi katika masuala ya maendeleo ya kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa…

31 July 2023, 16:53

Historia ya bwawa la Hombolo

Inasemekana kuwa bwawa hilo la Hombolo lina aina mbalimbali ya samaki wakiwemo dagaa, uduvi, ningu, kambale na perege. Na Yussuph Hassan. Bado tunaenedelea kuangazia historia ya bwawa la Hombolo bwawa ambalo linapatikana katika eneo la Hombolo lililopo Jijini Dodoma .…

28 July 2023, 17:07

Fahamu shughuli zinazofanyika bwawa la Hombolo

Je bwawa hili linawanufaisha vipi wakazi wa Hombolo hususani katika shughuli mbalimbali kama kilimo na uvuvi? Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo limekuwa likitumika na wakazi wa eneo hilo kwa ajili ya uvuvi wa samaki aina ya perege na wengine…

28 July 2023, 15:50

Ifahamu historia ya bwawa la Hombolo

Wananchi katika vijiji vingi vya jirani walikimbia makazi yao na kuhamia vijiji vingine wakati wa ujenzi wa bwawa hilo, ikiwa ni pamoja na Zepisa. Na Yussuph Hassan. Bwawa la Hombolo lilijengwa ili kuunda  bwawa lililopo katika kijiji cha Hombolo Bwawani. Bwawa hilo lilijengwa na serikali ya kikoloni…