Baraza
6 November 2025, 9:44 am
Timu za kikapu Dodoma zatakiwa kujipanga kufanya vizuri
Na Hamisi Makila Ligi ya mpira wa kikapu inatarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 26 hadi Decemba 6 2025 mkoani Dodoma ikihusisha timu 16 za wanaume na timu 12 za wanawake. Mchambuzi wa Mpira wa Kikapu Bon Charles amezitaka timu hizo kujiandaa…
29 September 2025, 2:37 pm
Kisasa heroes yaaga mashindano ligi ya kikapu mkoa
Na Hamis Makila. Timu hiyo ya kisasa heroes baada ya kuaga mashindano ya kikapu Mkoa imewaahidi mashabiki wake kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Kitaifa ya Kikapu.
13 December 2023, 12:03 pm
Ngorongoro yafanya vizuri ukusanyaji mapato robo ya kwanza 2023/2024
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imefanya vizuri Katika ukusanyaji wa mapato kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/24 Julai hadi Septemba ikikusanya kiasi cha Tsh.778,893,937 ikiwa ni asilimia 25 ya makisio ya mwaka huu wa 2023. Na Zacharia…
August 31, 2023, 2:36 pm
Halmashauri ya Msalala yavuka lengo la makusanyo mapato
Na Paul Kayanda/Erick Felino MWENYEKITI wa Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama, Mkoani Shinyanga Mibako Mabubu amepongeza ushirikiano kati ya watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Madiwani wake kwa kuvuka lengo la makusanyo ya mapato jambo ambalo itakuwa ni mfano wa…
22 June 2023, 7:13 pm
Maswa: RC aagiza hoja zote za CAGĀ zifungwe
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…