Radio Tadio

Baraza

6 November 2025, 9:44 am

Timu za kikapu Dodoma zatakiwa kujipanga kufanya vizuri

Na Hamisi Makila Ligi ya mpira wa kikapu inatarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 26 hadi Decemba 6 2025 mkoani Dodoma ikihusisha timu 16 za wanaume na timu 12 za wanawake. Mchambuzi wa Mpira wa Kikapu Bon Charles amezitaka timu hizo kujiandaa…

August 31, 2023, 2:36 pm

Halmashauri ya Msalala yavuka lengo la makusanyo mapato

Na Paul Kayanda/Erick Felino MWENYEKITI wa Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama, Mkoani Shinyanga Mibako Mabubu amepongeza ushirikiano kati ya watendaji wa Halmashauri hiyo pamoja na Madiwani wake kwa kuvuka lengo la makusanyo ya mapato jambo ambalo itakuwa ni mfano wa…

22 June 2023, 7:13 pm

Maswa: RC aagiza hoja zote za CAGĀ  zifungwe

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…