
Afya.

12 May 2025, 12:18 pm
Wakulima wa korosho wapongeza utoaji wa pembejeo kwa wakati
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na utaratibu wa kutoa pembejeo za kilimo bure kwa wakulima hasa kwenye zao la Korosho Na Msafiri Kipila Wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara wamempongeza Rais wa Jamhuri…

24 April 2025, 6:47 pm
Maambukizi ya malaria yashuka mkoani Kagera
Serikali kupitia idara ya afya mkoani Kagera imefanikiwa kupunguza kiwango cha maambukizi ya malaria licha ya baadhi ya wilaya kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi Theophilida Felician. Kiwango cha maambukizi ya malaria kwa mkoa wa Kagera kimepungua kutoka 34.9%…

9 April 2025, 15:14 pm
Wakulima wa korosho wahamasishwa kilimo mseto
Huu ni msisitizo kwa wakulima kuhakikisha wanalima kilimo mchanganyiko kwenye zao la Korosho ili kusaidia kupunguza ghalama za upaliliaji pamoja na kuongeza virutubisho vinavyotokana na mazao yanayochanganywa kwenye mikorosho hiyo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wamehamasishwa…

7 April 2025, 00:00 am
Vyama vya ushirika vyakemea kauli za upotoshaji za wanasiasa
Tamko hili limekuja baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wanasiasa kutumia majukwaa yao kuupotosha umma juu ya mifumo ya stakadhi ghalani unavyo wakandamiza wakulima wanapouza mazao yao Na Musa Mtepa Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vinavyosimamia mazao…

28 March 2025, 7:19 pm
Hoogan: CHADEMA wamechelewa kudai tume huru ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa na Mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema wakati umefika na jamii ndogo ndogo kushilikishwa katika nafasi za uteuzi katika kuimalisha umoja wa Kitaifa. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia uchaguzi mkuu na nafasi…

27 March 2025, 3:36 pm
Hofu yatanda kwa wananchi wa Kasimba, chatu mwingine auwawa
Picha ya chatu aliyeuawa. Picha na Anna Mhina “Naomba nitoe rai sitisheni shughuli zote katika mto huo” Na Anna Mhina Wananchi wa mtaa wa Kasimba uliopo kata ya Ilembo wilayani Mpanda mkoani Katavi wameingiwa hofu baada ya kuuawa kwa nyoka…

12 March 2025, 6:07 pm
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…

10 March 2025, 18:46 pm
Zaidi ya tani 9,000 za salfa zawasili bandari ya Mtwara
Hii ni meli ya kwanza kati ya meli nne zinazotarajia kubeba tani 40,000 za pembejeo ya zao la korosho kwa msimu wa mwaka 2025/2026 ambapo kwa mujibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho wakulima wanahitaji tani 40’000 ili kufanikisha uzalishaji…

17 February 2025, 3:26 pm
Wananchi Narusunguti washukuru kujengewa zahanati
Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…

4 February 2025, 1:20 pm
Chatu mwingine aonekana Msasani, hofu yatanda kwa wananchi
Wananchi na viongozi wakisafisha eneo ambalo chatu alimmeza mbwa. Picha na Anna Mhina “Chatu mwingine aonekana mtaa wa Msasani akimeza mbwa” Na Anna Mhina Hofu imetanda kwa wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda…