Radio Tadio

Afya.

22 January 2025, 1:05 pm

Vitambulisho elfu 12 vyakwama ofisi za NIDA Bunda

Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…

17 January 2025, 11:14 am

Chatu aliyeleta taharuki mtaa wa Kasimba auwawa

“Wananchi wameomba msako uendelee kufanyika ili kubaini endapo kuna chatu wengine“ Na Anna Milanzi- Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshukuru kwa msako uliofanyika na kufanikiwa kumuua nyoka aina ya chatu huku…

26 December 2024, 21:04

Wakristo watakiwa kuthamini ibada ya kumtolea Mungu sadaka

Sadaka ni moja ya ibada ambayo inapewa nafasi kwenye maeneo mengi na zipo sadaka zinatolewa maeneo mbalimbali ikiwemo miungu,je ipi maana halisi ya sadaka kibiblia. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mbozi mch.Lawrance Nzowa amewataka…

26 December 2024, 20:46

Askofu Mwankuga awaasa viongozi wa dini kuwa waaminifu

Katika maisha yoyote iwe ya kimwili au Kiroho yanahitaji uaminifu ili kuweza kufanikiwa. Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Morovian Tanzania jimbo la mashariki Lawi Afwilile Mwankuga amewasisitiza viongozi wa dini kuwa na roho ya uaminifu wanapo kutana na…

21 December 2024, 14:30 pm

CBT yashauriwa kuhakiki wakulima kuepuka changamoto za pembejeo

Hiki ni kikao cha ushauri cha mkoa wa Mtwara kinachohusisha uwasilishaji wa taarifa mbalimbali za maendeleo ,changamoto na utatuzi wake ikiwemo katika sekta ya Afya ,Elimu,Uchumi  na uzalishaji. Na Musa Mtepa Bodi ya Korosho Tanzania imetakiwa kuanzisha mapema uhakiki wa…

16 November 2024, 23:39 pm

Lindi mwambao wauza korosho tani 1,896 mnada wa sita

Mnada huo ambao umeendeshwa kwa njia ya mtandao kwa usimamizi wa soko la bidhaa Tanzania TMX, umefanya korosho zilizouzwa nchini matika msimu huu wa 2024/2025 kufikia Tani 310,000. Na Mwandishi wetu Chama Kikuu cha Ushirika LINDI MWAMBAO kimeumza jumla ya…