Radio Tadio

afya

9 Machi 2026, 10:09 um

Wanawake tupunguze maneno kwa waume zetu

anapoanza kwenda huko inaweza kuwa sababu ya familia kutelekezwa na watoto kukosa huduma za Msingi Na. Abdunuru Shafii Mkuu wa Dawati la Jinsia na watoto Wilaya ya Uvinza na Polisi Kata Inspekta Winfrida Joram,  amewataka akina mama kutokuwa na maneno…

9 Machi 2026, 9:45 mu

RC Kheri akemea wanaoficha ushahidi matukio ya ukatili

Serikali imeweka mifumo na vituo vya kuripoti matukio ya ukatili, na wananchi wanapaswa kuitumia Na Fredrick Siwale Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amekemea tabia ya baadhi ya wanawake, kutotoa ushahidi katika mashauri yanayohusiana na matukio ya ukatili…

8 Machi 2026, 8:00 mu

Wanawake Iringa DC watoa msaada kwa watoto

“Tumeona tusherehekee siku ya wanawake duniani Kwa kutoa msaada wa mahitaji Kwa watoto hawa” Na Joyce Buganda Wanawake kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameadhimisha maadhimisho ya siku ya wanawake kiwilaya kitofauti kwa kwenda kutembelea vituo viwili vya watoto yatima…

7 Machi 2026, 10:29 mu

Wanawake Mufindi waonywa kuacha kuwapiga wanaume

“Wanaume Wilaya ya Mufindi wamekuwa wakikutana na vipigo na wanakaa kimya” Na Fredrick Siwale Wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya kuwapiga waume zao ili kukuza ustawi katika Jamii. Hayo yamezungumzwa wakati wa Maadhimisho ya…

6 Machi 2026, 4:02 um

Wanawake Iringa waaswa kusimamia maadili

“Maadili bora katika jamii yanaanzia kwa wanawake hivyo wanapaswa kuwa mstari wa mbele” Na Joyce Buganda Wanawake wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kusimamia maadili mema na malezi katika familia zao na jamii inayowazunguka. Akizungumza wakati wa kufunga  kongamano…

3 Machi 2026, 9:50 mu

Wanawake Mufindi waonywa na mikopo Isiyofaa

Mkitaka kukopa ni vyema mkazifuata taasisi zinazotoa mikopo zilizosajiliwa kisheria Na Fredrick Siwale Wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kutojihusisha na mikopo yenye viashiria vya kausha damu ili ambayo imekuwa ikileta taharuki na kupoteza utu wa mwanamke…

22 Febuari 2026, 13:19

Mch. Nzowa: Wakarimuni wachungaji wenu shirikani

Kitabu cha Kutoka 20:24–26, ambapo Mungu alimwagiza Musa awajulishe Waisraeli wamjengee madhabahu ya udongo au mawe yasiyochongwa, na wasitumie ngazi kupanda juu yake,akiwa na Maana kwamba ibada ilipaswa kufanywa kwa unyenyekevu na usafi wa moyo, Hivyo, ujenzi wake ulionyesha kuwa…

15 Febuari 2026, 18:03

Mwenyekiti Mch Simkwembe aahidi ujenzi ofisi mpya

Wachungaji na waumini watakiwa kushirikiana katika ujenzi wa miundombinu ya kanisa kwa hali na mali. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa kanisa la Moravian wilaya ya Mbeya mchungaji Greenwell Sinkwembe amewataka Wakristo katika wilaya yake kujitoa kwa ajili ya kazi ya…