![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
afya
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/06/screenshot-20240624-213103-2-1.jpg)
25 June 2024, 06:59
DC Songwe akemea wanaoendekeza ushirikina
Kutokana na changamoto za mmonyoko wa maadili ulimwenguni wakristo wameombwa kuendelea kuombea watu wanaojihusisha na vitendo vya kishirikina ikiwemo ubakaji watoto na ushoga. Na Ezra Mwilwa Mkuu wa wilaya ya Songwe Mhe. Solomon Itunda amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/06/screenshot-20240620-171634-1.jpg)
20 June 2024, 18:48
Kwaya kuu kanisa la Moravian jimbo la kusini magharibi wafanya ziara Uswiss
Baadhi ya Wanakwaya ya Wawakilishi Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wakiwa nchi ya Uswiss Na Ezekiel Kamanga Makamu Mwenyekiti wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mchungaji Asulumenye Ever Mwahalende ameongoza Kwaya ya Jimbo katika…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/06/1718094072188.jpg)
11 June 2024, 11:26
Askofu Pangani:lindeni amani ya kanisa na Taifa
Kila mwananchi anawajibu wa kuendelea kulinda taifa lake kwa kulinda amani, kuanzia katika ngazi ya familia Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mhashamu Robert Pangani amewataka wakristo wote kuilinda Amani ya kanisa na…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/06/img-20240602-wa0372.jpg)
3 June 2024, 12:54
Serikali yaombwa kubadili mfumo wa udahili wanafunzi vyuo vya elimu ya juu
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limepata askofu mpya baada ya kustaafu kwa aliyekuwa askofu wa Jimbo hilo Dkt.Alinikisa Cheyo. Na Hobokela Lwinga Askofu mpya wa Kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la kusini magharibi Robert Pangani ameiomba serikali…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/16/2024/05/ff.png)
May 16, 2024, 6:09 pm
Mgogoro wa miaka 25 soko la Magwanji Kahama watatuliwa
Na Neema Nkumbi- Huheso Fm Wakazi wa Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wameishukuru serikali ya Mtaa huo, kwa kumaliza mgogoro wa soko la Magwanji uliodumu kwa Zaidi ya miaka 25 uliokuwa ukikwamisha kuanza…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/18/2024/05/formatfactorydsc-1519.jpg)
9 May 2024, 3:04 am
Wakazi wa kijiji cha Nyakayondwa hawana zahanati
Vituo vya afya na zahanati ndizo ngazi za kwanza za afya zinazoigusa jamii moja kwa moja. Licha ya serikali kuweka mpango wa kurahisisha huduma za afya kwa kuboresha miundombinu, kwa wakazi wa kijiji cha Nyakayondwa bado ni kitendawili. Na: Evance…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/15/2024/05/1000465219.jpg)
8 May 2024, 4:16 pm
RUWASA Maswa yatakiwa kusajili pikipiki kwa namba za serikali
Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2024/03/shule-1-1.jpg)
20 March 2024, 4:51 pm
Wazazi wahimizwa kutoa michango ya shule kwa wakati.
Kikao cha wazazi na uongozi wa shule wa msingi Terrat Wilaya ya Simanjiro kimeazimia kushirikiana kuhakikisha kutatua changamoto zilizopo shuleni hapo ikiwepo tatizo la upungufu wa walimu. Na Joyce Elius, Terrat. Kikao hicho kilichofanyika tarehe 19.03.2024 kimeongozwa na Mwalimu Mkuu…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/36/2024/03/df8456d8-f69a-4dc6-bdc9-46cd13c306c4.jpeg)
16 March 2024, 4:39 pm
Serikali yatoa vifaa tiba kituo cha afya Sale
Na Saitoti Saringe. Katika kuboresha huduma za afya serikali imeendelea kununua vifaa vya tiba muhimu kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki kuanzia vituo vya afya wilayani Ngorongoro. Kituo cha afya Sale kilichopo kata ya Sale kimepokea vifaa vipya…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/13/2024/03/wakuuuuuuu.jpg)
13 March 2024, 7:09 pm
Fisi aua mtoto wa miaka 9, ajeruhi mwingine Sengerema
Matukio ya watoto kushambuliwa na fisi wilayani Sengerema yamezidi kushamili maeneo mbalimbali ambapo akizungumza katika Baraza la Madiwani hivi karibuni Diwani wa kata ya Chifunfu Robert Madaha alidai kuwa fisi waliopo Sengerema wanamilikiwa na watu kwani wana majina na namba…