afya
9 November 2025, 12:14 pm
CBT yaruhusu usafirishaji wa korosho Saa 24
Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeruhusu usafirishaji wa korosho saa 24 kwa mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara ili kuharakisha uondoaji wa mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari ya Mtwara. Katika mnada wa kwanza, TANECU iliuza tani 26,000 kwa bei…
9 November 2025, 09:31 am
Wakulima waomba bei bora zaidi ya korosho
Wakulima wa korosho wilayani Tandahimba wamepokea kwa mitazamo tofauti bei ya zao hilo katika mnada wa kwanza wa msimu 2025/2026, ambapo kilo moja imenunuliwa kwa bei ya juu ya shilingi 3,520 na ya chini shilingi 2,550, huku wakitaka wanunuzi kuongeza…
20 October 2025, 10:50 am
Makampuni 88 yajisajili kununua korosho nchini msimu wa 2025/2026
Zaidi ya makampuni 88 yamejisajili kununua korosho msimu wa 2025/2026. Bodi ya Korosho Tanzania yatoa onyo kwa wanunuzi wasio rasmi na kusisitiza matumizi ya mfumo wa TMX kuhakikisha wakulima wanapata bei bora Na Musa Mtepa Wakati wakulima wa korosho wakiendelea…
19 October 2025, 10:05 am
CBT yatangaza ratiba rasmi ya minada ya Korosho 2025/2026
Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imetangaza kuwa minada ya korosho kwa msimu wa 2025/2026 itaanza Oktoba 31, 2025. Wakulima wametakiwa kuzingatia ubora wa korosho na kuepuka kuuza kwa kangomba, huku minada ikiendeshwa kwa njia ya mtandaoni chini ya usimamizi wa…
5 October 2025, 11:45
Mch Mstaafu Mwaisango waumini ombea Tanzania
kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29,Oktoba 2025 viongozi wa dini wameendelea kuhimiza waumini kuombea taifa ili kuvuka salama. Na Ezekiel Kamanga Mchungaji Nelson Mwaisango Mwenyekiti pia Katibu mstaafu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini amewataka waumini wa…
2 October 2025, 13:29 pm
TPA Mtwara yaongeza ufanisi wa usafirishaji wa mizigo
Bandari ya Mtwara imeongeza usafirishaji wa mizigo kwa asilimia 49 kati ya 2023/2024, ikihusisha korosho na makaa ya mawe, huku idadi ya makampuni ya meli ikiongezeka Na Gregory Milanzi Mtwara-September 29,2025 – Ukusanyaji na usafirishaji wa mizigo kupitia Bandari ya…
September 21, 2025, 8:56 pm
Machifu Songwe waombea uchaguzi
Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…
September 18, 2025, 10:26 pm
Hospitali ya Ngarenaro kutoa rasmi huduma za upasuaji kwa wajawazito
Baada ya changamoto ya muda mrefu ya kutokuwepo kwa huduma ya upasuaji kwa wajawazito, Kituo cha Afya cha Ngarenaro mkoani Arusha kimezindua rasmi huduma hiyo muhimu, hatua inayolenga kuokoa maisha ya mama na mtoto wakati wa kujifungua. Na Jenipha Lazaro…
16 September 2025, 8:53 am
TRA Morogoro yatoa elimu kwa wafanyabiashara
TRA Mkoa wa Morogoro imetoa elimu kwa wafanyabiashara wa Ifakara kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi na matumizi sahihi ya mashine za EFD, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari na kuongeza uelewa wa majukumu…
11 September 2025, 09:02 am
13 mbaloni kwa wizi wa pembejeo za korosho
Jeshi la Polisi Mtwara linawashikilia watuhumiwa 13 kwa tuhuma za wizi wa pembejeo za korosho zilizotolewa kwa wakulima msimu wa 2024/2025, wakiwemo watendaji wa serikali Na Musa Mtepa Mtwara, Septemba 10, 2025 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linawashikilia…