Radio Tadio

afya

25 June 2024, 06:59

DC Songwe akemea wanaoendekeza ushirikina

Kutokana na changamoto za mmonyoko wa maadili ulimwenguni wakristo wameombwa kuendelea kuombea watu wanaojihusisha na vitendo vya kishirikina ikiwemo ubakaji watoto na ushoga. Na Ezra Mwilwa Mkuu wa wilaya ya Songwe Mhe. Solomon Itunda amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Songwe…

11 June 2024, 11:26

Askofu Pangani:lindeni amani ya kanisa na Taifa

Kila mwananchi anawajibu wa kuendelea kulinda taifa lake kwa kulinda amani, kuanzia katika ngazi ya familia Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Mhashamu Robert Pangani amewataka wakristo wote kuilinda Amani ya kanisa na…

May 16, 2024, 6:09 pm

Mgogoro wa miaka 25 soko la Magwanji Kahama watatuliwa

Na Neema Nkumbi- Huheso Fm Wakazi wa Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wameishukuru serikali ya Mtaa huo, kwa kumaliza mgogoro wa soko la Magwanji uliodumu kwa Zaidi ya miaka 25 uliokuwa ukikwamisha kuanza…

9 May 2024, 3:04 am

Wakazi wa kijiji cha Nyakayondwa hawana zahanati

Vituo vya afya na zahanati ndizo ngazi za kwanza za afya zinazoigusa jamii moja kwa moja. Licha ya serikali kuweka mpango wa kurahisisha huduma za afya kwa kuboresha miundombinu, kwa wakazi wa kijiji cha Nyakayondwa bado ni kitendawili. Na: Evance…

20 March 2024, 4:51 pm

Wazazi wahimizwa kutoa michango ya shule kwa wakati.

Kikao cha wazazi na uongozi wa shule wa msingi Terrat Wilaya ya Simanjiro kimeazimia kushirikiana kuhakikisha kutatua changamoto zilizopo shuleni hapo ikiwepo tatizo la upungufu wa walimu. Na Joyce Elius, Terrat. Kikao hicho kilichofanyika tarehe 19.03.2024 kimeongozwa na Mwalimu Mkuu…

16 March 2024, 4:39 pm

Serikali yatoa vifaa tiba kituo cha afya Sale

Na Saitoti Saringe. Katika kuboresha huduma za afya serikali imeendelea kununua vifaa vya tiba muhimu kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki kuanzia vituo vya afya wilayani Ngorongoro. Kituo cha afya Sale kilichopo kata ya Sale kimepokea vifaa vipya…

13 March 2024, 7:09 pm

Fisi aua mtoto wa miaka 9, ajeruhi mwingine Sengerema

Matukio ya watoto kushambuliwa na fisi wilayani Sengerema yamezidi kushamili maeneo mbalimbali ambapo akizungumza katika Baraza la Madiwani hivi karibuni Diwani wa kata ya Chifunfu Robert Madaha alidai kuwa fisi waliopo Sengerema wanamilikiwa na watu kwani wana majina na namba…