
afya

9 April 2025, 15:14 pm
Wakulima wa korosho wahamasishwa kilimo mseto
Huu ni msisitizo kwa wakulima kuhakikisha wanalima kilimo mchanganyiko kwenye zao la Korosho ili kusaidia kupunguza ghalama za upaliliaji pamoja na kuongeza virutubisho vinavyotokana na mazao yanayochanganywa kwenye mikorosho hiyo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wamehamasishwa…

7 April 2025, 00:00 am
Vyama vya ushirika vyakemea kauli za upotoshaji za wanasiasa
Tamko hili limekuja baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wanasiasa kutumia majukwaa yao kuupotosha umma juu ya mifumo ya stakadhi ghalani unavyo wakandamiza wakulima wanapouza mazao yao Na Musa Mtepa Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vinavyosimamia mazao…

28 March 2025, 7:19 pm
Hoogan: CHADEMA wamechelewa kudai tume huru ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa na Mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema wakati umefika na jamii ndogo ndogo kushilikishwa katika nafasi za uteuzi katika kuimalisha umoja wa Kitaifa. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia uchaguzi mkuu na nafasi…

27 March 2025, 3:36 pm
Hofu yatanda kwa wananchi wa Kasimba, chatu mwingine auwawa
Picha ya chatu aliyeuawa. Picha na Anna Mhina “Naomba nitoe rai sitisheni shughuli zote katika mto huo” Na Anna Mhina Wananchi wa mtaa wa Kasimba uliopo kata ya Ilembo wilayani Mpanda mkoani Katavi wameingiwa hofu baada ya kuuawa kwa nyoka…

12 March 2025, 6:07 pm
Madereva wa magari madogo ya abiria wagoma kufanya usafirishaji Bariadi
“Hoja za madereva wa daladala mkoa wa Simiyu naomba zisikilizwe maana kuna hoja kubwa sana ni kweli serikali yangu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania imejenga stund tena nzuri kweli ya kisasa lakini sasa hatuwezi kuwachanganya hawa tunaenda kuua biashara…

17 February 2025, 3:26 pm
Wananchi Narusunguti washukuru kujengewa zahanati
Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…

4 February 2025, 1:20 pm
Chatu mwingine aonekana Msasani, hofu yatanda kwa wananchi
Wananchi na viongozi wakisafisha eneo ambalo chatu alimmeza mbwa. Picha na Anna Mhina “Chatu mwingine aonekana mtaa wa Msasani akimeza mbwa” Na Anna Mhina Hofu imetanda kwa wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda…

22 January 2025, 1:05 pm
Vitambulisho elfu 12 vyakwama ofisi za NIDA Bunda
Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…

18 January 2025, 08:01
Askofu Pangani aungana na wanawake wa Moravian kumuenzi Mch. Luise Plock
Safari ya dunia ni fupi ambapo inamfanya kila mtu kutafakari namna ya kumpendeza Mungu ili kuwa na mwisho mwema. Na Hobokela Lwinga Askofu kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Robert Pangani ameongoza na kushiriki ibada ya kuenzi na…

17 January 2025, 11:14 am
Chatu aliyeleta taharuki mtaa wa Kasimba auwawa
“Wananchi wameomba msako uendelee kufanyika ili kubaini endapo kuna chatu wengine“ Na Anna Milanzi- Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshukuru kwa msako uliofanyika na kufanikiwa kumuua nyoka aina ya chatu huku…