afya
15 Febuari 2026, 18:03
Mwenyekiti Mch Simkwembe aahidi ujenzi ofisi mpya
Wachungaji na waumini watakiwa kushirikiana katika ujenzi wa miundombinu ya kanisa kwa hali na mali. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa kanisa la Moravian wilaya ya Mbeya mchungaji Greenwell Sinkwembe amewataka Wakristo katika wilaya yake kujitoa kwa ajili ya kazi ya…
13 Febuari 2026, 08:59 mu
CBT yasisitiza wakulima upogoleaji na utibuaji wa Mashamba ya Mikorosho
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Frances Alfred, amewataka wakulima kuzingatia upogoleaji na utibuliaji wa mashamba kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Amesema ruzuku za pembejeo zimeongeza uzalishaji, huku akisisitiza umuhimu wa kudumisha ubora wa korosho ili kupata bei nzuri…
12 Febuari 2026, 10:27 mu
“Kwanini uzito wa korosho utofautiane na malipo yake ?’’
Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania, Frances Alfred, ametaka wakulima walipwe kulingana na uzito uliopokelewa na wahusika wa upungufu wawajibike baada ya wakulima kulalamikia tofauti ya uzito wa mazao kati ya Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) na ghala kuu,…
9 Febuari 2026, 09:49
Mch. Tinga apokelewa rasmi na mwenyekiti Moravian Uyole
Baada ya uchaguzi wa viongozi mbalimbali wakimewo wenyeviti wa wilaya katika kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi na wewe kisha kupangiwa vituo vya kazi,wilaya ya uyole imempokea mwenyekiti wake. Na Hobokela Lwinga Rasmi mwenyekiti wa wilaya ya Uyole Kanisa…
22 Januari 2026, 6:26 um
Uroki Bomang’ombe watumia mapato ya ndani kuondoa adha ya maji
Bodi ya Maji Uroki Bomang’ombe wametumia fedha za mapato yao ya ndani ili kutatua changamoto ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Hai, mkuu wa wilaya ya Hai na Viongozi wengine wamepongeza juhudi hizo za kutatua adha ya maji kwa…
3 Januari 2026, 18:18 um
Bei ya korosho yazua sintofahamu Nanyamba
Wakulima wa korosho Nanyamba wamelalamikia tofauti kubwa ya bei ukilinganisha na Tandahimba, hali inayowalazimisha kuhamishia mazao yao Tandahimba Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho katika Halmashauri ya Mji Nanyamba wamehoji tofauti ya bei ya korosho inayojitokeza sokoni kati…
16 Disemba 2025, 16:59 um
Tells One kuinua vikundi vya wabangua korosho Mahuta
Ujenzi wa kiwanda cha Tells One General Supply Mahuta wilayani Tandahimba mkoani Mtwara umeleta faraja kwa akina mama na wabanguaji wadogo wa korosho. Kiwanda hicho kimewezesha upatikanaji wa soko, ajira na kuboresha maisha ya wananchi hususan wanawake wa eneo hilo…
13 Disemba 2025, 11:55 mu
TARI-Naliendele yajadili tafiti na changamoto za kilimo msimu wa 2024/2025
Taassisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Naliendele imefanya mkutano wa mwaka na wadau wa kilimo kuwasilisha matokeo ya tafiti na kujadili mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikilenga kuongeza uzalishaji wa zao la korosho msimu…
12 Disemba 2025, 19:30 um
Waziri Chongolo afanya ziara ya kikazi Mtwara
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, alifanya ziara ya kikazi Mtwara kufuatilia msimu wa korosho 2025/2026, kuhimiza ruzuku ya pembejeo kwa wakulima, kuanzisha teknolojia ya ndege nyuki kupulizia dawa, na kuagiza TARI-Naliendele kufanya utafiti wa changamoto za korosho kutokana na mvua…
9 Novemba 2025, 12:14 um
CBT yaruhusu usafirishaji wa korosho Saa 24
Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imeruhusu usafirishaji wa korosho saa 24 kwa mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara ili kuharakisha uondoaji wa mizigo na kuongeza ufanisi wa Bandari ya Mtwara. Katika mnada wa kwanza, TANECU iliuza tani 26,000 kwa bei…