Radio Tadio

afya

9 April 2025, 15:14 pm

Wakulima wa korosho wahamasishwa kilimo mseto

Huu ni msisitizo kwa wakulima kuhakikisha wanalima kilimo mchanganyiko kwenye zao la Korosho ili kusaidia kupunguza ghalama za upaliliaji pamoja na kuongeza virutubisho vinavyotokana na mazao yanayochanganywa kwenye mikorosho hiyo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wamehamasishwa…

7 April 2025, 00:00 am

Vyama vya ushirika vyakemea kauli za upotoshaji za wanasiasa

Tamko hili limekuja baada ya kuwepo kwa taarifa za baadhi ya wanasiasa kutumia majukwaa yao kuupotosha umma juu ya mifumo ya stakadhi ghalani unavyo wakandamiza wakulima wanapouza mazao yao Na Musa Mtepa Wenyeviti wa vyama vikuu vya ushirika vinavyosimamia mazao…

28 March 2025, 7:19 pm

Hoogan: CHADEMA wamechelewa kudai tume huru ya uchaguzi

Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa na Mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema wakati umefika na jamii ndogo ndogo kushilikishwa katika nafasi za uteuzi katika kuimalisha umoja wa Kitaifa. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia uchaguzi mkuu na nafasi…

17 February 2025, 3:26 pm

Wananchi Narusunguti washukuru kujengewa zahanati

Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…

22 January 2025, 1:05 pm

Vitambulisho elfu 12 vyakwama ofisi za NIDA Bunda

Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…

17 January 2025, 11:14 am

Chatu aliyeleta taharuki mtaa wa Kasimba auwawa

“Wananchi wameomba msako uendelee kufanyika ili kubaini endapo kuna chatu wengine“ Na Anna Milanzi- Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshukuru kwa msako uliofanyika na kufanikiwa kumuua nyoka aina ya chatu huku…