Storm FM
Storm FM
13 October 2025, 10:55
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitaendelea kuwatetea wananchi wa Kigoma hususani wenye changamoto ya kupata vitambulisho vya uraia, kuboresha miundombinu ya barabara za mitaa na kuufanya mji wa Kigoma kuwa wa kimkakati Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge katika Jimbola Kigoma…
11 October 2025, 11:56
Chama cha CUF kimesema kitaendelea kusimamia haki za wananchi ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili hasa miundombinu ya barabara za mitaa, afya na huduma zote za kijamii Na Mwandiahi wetu Mgombe Ubunge katika Jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha CUF Kashindi Ally…
10 October 2025, 8:54 am
Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wananchi wa Bunda kutafakari kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa. Na Adelinus Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Wananchi wa Bunda kutafakari…
3 October 2025, 1:39 pm
Mgombea urais kupitia DP Abdul Juma Mluya aahidi serikali ya DP itarekebisha mtaala wa elimu ili kuendana na teknolojia ya sasa. Na Teddy Thomas Chama cha Democratic Paty DP kimesema endapo kitapa ridhaa ya kuiongoza serikali ya Jamhuri ya muungano…
September 26, 2025, 9:07 am
Kupunguza utoro shuleni na kuongeza utulivu wa watoto shuleni Na Devi Mgale Shirika lisilokuwa la kiserikali la Elisha Youth Support Foundation (EFAD) lililopo wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe limetoa kilo 420 za Mahindi kwa watoto wanaoishi mazingira magumu katika…
25 September 2025, 11:31 pm
Katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa CCM Taifa, Ndg. Joshua Chacha Mirumbe awaomba wananchi kumuunga mkono Dkt. Samia kwa kura, pamoja na mgombea mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi, mgombea ubunge Ndg. Boniphace Getere na wagombea udiwani wa CCM. Na Thomas…
25 September 2025, 9:40 am
Ilani ya mkoa ya mkoa wa Mara imegusia mambo yote muhimu ikiwemo, afya, maji na miundombinu mingine. Na Thomas Masalu Katibu wa NEC wa Uchumi na Fedha wa CCM Taifa, Ndg. Joshua Chacha Mirumbe, amewakumbusha wanachama wa Chama Cha Mapinduzi…
24 September 2025, 11:49 am
Ndugu Joshua Chacha Mirumbe asema CCM imedhamiria kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli kupitia utekelezaji wa miradi ya kimkakati kwenye sekta za kilimo, elimu, afya, miundombinu na ajira kwa vijana. Na Thomas Masalu Katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa CCM,…
24 September 2025, 11:37 am
Ndg.Mirumbe Katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa amesema October 29 mwaka huu, wananchi wakampigie kura Daktari Samia Suluhu Hassan pamoja na Mgombea Ubunge Mwita Waitara na Wagombea udiwani wote wa CCM. Na Thomas Masalu…
24 September 2025, 11:02 am
Katibu wa NEC wa Uchumi na Fedha wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa,Ndg.Joshua Mirumbe awaeleza wananchi kuhusu dhamira ya chama katika kuwaletea maendeleo endelevu na kueleza kwa kina sababu za CCM kumteua Ndg. Waitara kugombea Ubunge katika jimbo hilo. Na…