uharifu
9 May 2024, 3:36 am
TAS yatoa tamko baada ya mtoto mwenye ualbino kujeruhiwa
Tukio la kujeruhiwa mtoto (10) mwenye Ualbino mkazi wa mtaa wa Mtakuja kata ya Katoro wilayani na mkoani Geita limekiibua Chama cha watu wenye Ualbino (TAS) wilaya ya Geita. Na: Evance Mlyakado – Geita Katibu wa TAS wilaya ya Geita…
1 September 2023, 4:51 pm
Serikali yavuna zaidi ya bilioni 118 soko kuu la dhahabu Geita
Kuanza kutumika kwa kanuni za masoko ya madini za mwaka 2019 chini ya sheria ya madini sura ya 123 zimekuwa na manufaa makubwa kwa serikali na Wananchi wanaofanya shughuli za uchimbaji wa madini ya Dhahabu Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick:…
11 July 2023, 10:32 am
Wachimbaji Dhahabu wakubali kukatwa 2% ya mauzo
Kutokuwepo kwa mfumo rasmi wa utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na mauzo kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu hali ambayo ilikuwa ikichangia wengi wao kukwepa kodi, serikali imefanya mabadiliko ya sheria ili kila mchimbaji aweze kulipa kodi. Na Mrisho…
10 July 2023, 8:42 pm
Kicheko kwa bodaboda Storm Fm ikisaidia kutatua changamoto yao
Kutokana na changamoto ya muda mrefu ya kutozwa faini iliyokuwa ikiwasumbua waendesha pikipiki katika soko la Nyankumbu mjini Geita hatimaye adha hiyo imetatuliwa baada ya Storm FM kufika na kuripoti changamoto hiyo. Na Kale Chongela Waendesha pikipiki maarufu kwa jina…