Storm FM

uharifu

11 July 2023, 10:32 am

Wachimbaji Dhahabu wakubali kukatwa 2% ya mauzo

Kutokuwepo kwa mfumo rasmi wa utunzaji wa kumbukumbu za manunuzi na mauzo kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu hali ambayo ilikuwa ikichangia wengi wao kukwepa kodi, serikali imefanya mabadiliko ya sheria ili kila mchimbaji aweze kulipa kodi. Na Mrisho…

10 July 2023, 8:42 pm

Kicheko kwa bodaboda Storm Fm ikisaidia kutatua changamoto yao

Kutokana na changamoto ya muda mrefu ya kutozwa faini iliyokuwa ikiwasumbua waendesha pikipiki katika soko la Nyankumbu mjini Geita hatimaye adha hiyo imetatuliwa baada ya Storm FM kufika na kuripoti changamoto hiyo. Na Kale Chongela Waendesha pikipiki maarufu kwa jina…