Storm FM

tanzania

3 March 2024, 4:40 pm

Geita wafanya dua maalum ya Hayati Mwinyi

Mamilioni ya watanzania wameendelea kumuombea dua Hayati Ali Hassan Mwinyi Rais Mstaafu wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Mrisho Sadick: Waumini wa dini ya kiislamu wa Msikiti wa Ijumaa Halmashuri ya mji wa Geita Mkoani…

5 April 2021, 4:36 pm

Wazee Mjini Geita Waendelea kumuenzi Dkt John Pombe Magufuli

Baadhi ya wazee katika   Halmashauri ya mji wa Geita   wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli  kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa  hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa  hayati Magufuli watamkumbuka kwa…