tanzania
3 March 2024, 4:40 pm
Geita wafanya dua maalum ya Hayati Mwinyi
Mamilioni ya watanzania wameendelea kumuombea dua Hayati Ali Hassan Mwinyi Rais Mstaafu wa awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Mrisho Sadick: Waumini wa dini ya kiislamu wa Msikiti wa Ijumaa Halmashuri ya mji wa Geita Mkoani…
5 April 2021, 4:36 pm
Wazee Mjini Geita Waendelea kumuenzi Dkt John Pombe Magufuli
Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya mji wa Geita wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa hayati Magufuli watamkumbuka kwa…
27 March 2021, 3:26 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awaondoa hofu wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa baada ya mazishi ya Dkt. John Magufuli , kinachofuata ni utekelezaji wa ahadi zote ambazo yeye na chama chake (Chama cha Mapinduzi) waliahidi wakati wa kampeni za…