Storm FM
Storm FM
5 December 2025, 2:25 pm
Changamoto zilizokuwa kikwazo mwaka Jana ikiwemo wazazi kuwalazimisha watoto kufeli, ukosefu wa chakula shuleni pamoja na baadhi ya wadau kutowajibika ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Ufaulu wa mtihani wa darasa la saba katika Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita umeongezeka kutoka asilimia…
1 December 2025, 2:14 pm
Changamoto mbalimbali zinazokabili chuo hicho ikiwemo ukosefu wa uzio unaohatarisha mali za chuo, upungufu wa zana za kisasa za mafunzo. Na Mrisho Sadick: Taasisi za serikali na zile za binafsi wilayani Geita zimetakiwa kuwapa kipaumbele vijana waliohitimu mafunzo ya Ufundi…
1 December 2025, 1:40 pm
Mtandao huo umefanikisha ujenzi wa vyoo katika shule ya sekondari Kasamwa ikiwemo chumba maalumu kwa ajili ya wasichana watakapokuwa wakati wa hedhi. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa marafiki wa elimu Kanda ya Ziwa umetoa msaada wa chakula kwenye kituo cha…
30 November 2025, 5:33 am
“Hata mimi nilikuwa kama nyie miaka 31 iliyopita, ni muhimu kuwa na nidhamu na kuishi katika ndoto zenu huku mkiwaheshimu watu wote kwenye Jamii” – RC Shigela Na: Ester Mabula Mkuu wa mkoa wa Geita Mhe. Martine Reuben Shigela amewataka…
November 20, 2025, 3:02 pm
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
5 October 2025, 7:11 pm
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph akitoa maelekezo kwa wawekezaji. Picha na John Benjamin “Kuanzia leo nafunga shughuli zote za uchimbaji” Na John Benjamin Wananchi wa Kijiji cha Mtisi wilaya ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia uwepo wa wawekezaji watatu…
3 October 2025, 5:35 pm
Mhe Majaliwa akiwa Bukombe amesema hakuna sababu ya walimu kurundikana mijini wakati vijijini kuna uhitaji mkubwa . Na Mrisho Sadick: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameiagiza wizara ya TAMISEMI kwa kushirikiana na Ofisi ya…
2 October 2025, 3:52 pm
TAKUKURU imeendelea na mikakati mbalimbali ya kutoa elimu kwa UMMA ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kuhakikisha mazingira huru, haki na yenye uwazi. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana…
29 September 2025, 1:20 pm
Kupitia risala yao wanafunzi wa shule ya sekondari msalala wameishukuru serikali kwa uwekezaji huo na kuiomba kuwasaidia kupata basi la shule Na Mrisho Sadick: Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Msalala wilayani Nyang’hwale mkoani Geita pamoja na wananchi wa eneo hilo…
26 September 2025, 4:50 pm
Programu ya Kizazi chenye Usawa ni programu inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii, yenye lengo la kuhimiza usawa wa kijinsia katika nyanja zote za kijamii na kiuchumi na Programu hii inalenga kuwezesha wanawake…