Uchaguzi
22 March 2024, 6:38 am
Chama cha Mapinduzi cha shinda udiwani Kata ya Buzilasoga Sengerema
Kata ya Buzilasoga ni miongoni mwa kata 22 za Tanzania bara ambazo tume ya uchaguzi ilitangaza kufanyika uchaguzi mdogo katika kata hizo ambapo mgombea wa chama cha mapinduzi ndiye aliyetangazwa kuibuka mshindi kati ya wagombea wengine nane kutoka vyama tofauti.…
2 May 2023, 11:40 am
TUCTA Mwanza waitaka serkali kuchukua hatua kwa waajiri wanao nyanyasa wafanyaka…
Chama cha wafanyakazi Mkoani Mwanza TUCTA kimelaani vikali waajiri wanaowanyanyasa wafanyakazi sehemu za kazi ikiwemo kutowalipa stahiki zao kwa wakati. Hayo yamesemwa na katibu wa chama cha wafanyakazi mkoani mwanza Zebedayo Athuman wakati akisoma risala kwa mgeni rasmi katika maadhimisho…
16 July 2022, 3:55 pm
Waziri Makamba atoa ahadi hii kwa wananchi Sengerema
Waziri wa Nishati Nchini Mh,January Makamba amewahidi wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza kutatua tatizo sugu la kukatika kwa umeme ili kuwaondolea adha hiyo inayowakabili kwa muda mrefu . Waziri Makamba amesema hayo wakati akizungumza na wananachi katika mkutano wa hadhara…