Sengerema FM

ccm

19 April 2024, 11:37 am

Marufu pikipiki za Samia kuendeshea bodaboda

Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Sengerema kimegawa pikipiki kwa viongozi wake wa kata na matawi ili kuwarahisishia kazi zao za kichama. Na:Emmanuel Twimanye Viongozi  wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza  waliopatiwa pikipiki na chama hicho  wamepigwa…

11 March 2024, 6:03 pm

CCM yazindua kampeni za udiwani Sengerema

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 23 Tanzania Bara, ukitarajiwa kufanyika tar 20 Machi 2024 Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima, R. K jijini Dodoma tar15…

13 February 2024, 5:09 pm

CCM Sengerema yaagiza kukamatwa fundi wa nyumba za walimu

Kamati ya Sekretarieti ya ccm Wilaya ya Sengerema inafanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serkali ya awamu ya Sita, ambapo imekutana na changamoto ya Fundi aliyelipwa fedha na kushindwa kukamilisha majengo ya watumishi kisha kutokomea kusiko…