ccm
19 April 2024, 11:37 am
Marufu pikipiki za Samia kuendeshea bodaboda
Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Sengerema kimegawa pikipiki kwa viongozi wake wa kata na matawi ili kuwarahisishia kazi zao za kichama. Na:Emmanuel Twimanye Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza waliopatiwa pikipiki na chama hicho wamepigwa…
11 March 2024, 6:03 pm
CCM yazindua kampeni za udiwani Sengerema
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 23 Tanzania Bara, ukitarajiwa kufanyika tar 20 Machi 2024 Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima, R. K jijini Dodoma tar15…
13 February 2024, 5:09 pm
CCM Sengerema yaagiza kukamatwa fundi wa nyumba za walimu
Kamati ya Sekretarieti ya ccm Wilaya ya Sengerema inafanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serkali ya awamu ya Sita, ambapo imekutana na changamoto ya Fundi aliyelipwa fedha na kushindwa kukamilisha majengo ya watumishi kisha kutokomea kusiko…
4 July 2023, 2:51 pm
Kipindi cha maisha ni afya
Sikiliza kipindi cha maisha ni Afya kuhusu uboreshaji wa kitengo cha mama,baba na mtoto kutoka Hospital Teule ya Wilaya ya Sengerema SDDH.