Sengerema FM

Wizi

4 April 2024, 4:26 pm

Marufuku kwenda na watoto kwenye kumbi za Starehe

Kutokana na kkuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili kwa watoto nchini Serikali ya mtaa wa Migombani Imepiga marufuku wazazi kwenda na watoto kwenye kumbi za Starehe mjini Sengerema Na:Emmanuel Twimanye Serikali ya mtaa wa Migombani Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema Mkoani…

29 March 2024, 6:41 pm

Sengerema: Watakaofanya uhalifu sikukuu za Pasaka kukiona

Wakristo ulimwenguni kote wanaungana kuadhimisha sikukuu ya Pasaka kama kumbukumbu ya mateso, kufa na kufufuka kwa bwana Yesu kristo. Na;Emmanuel Twimanye Serikali ya mtaa wa Geita Road kata ya Nyatukala wilayani Sengerema mkoani Mwanza  imetangaza mapambano  makali dhidi ya wahalifu…

5 February 2024, 5:04 pm

Mwizi wa kuku aua, atokomea kusikojulikana

Wananchi wataka sungusungu kurudishwa ili kukabiliana na vitendo vya uharifu pamoja na wizi wa kuku unaoendelea kutokea kata ya Sungamile Wilayani Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 40 ameuawa kwa kudaiwa kuchomwa na kisu na mtu anayedaiwa…