Savvy FM

Recent posts

June 5, 2025, 9:14 pm

Wananchi kata ya Kisongo kunufaika na maji ya RUWASA

Wananchi wa kitongoji cha Losinoni Kata ya Kisongo mkoani Arusha wanakwenda kunufaika na maji safi na salama baada ya kukosa maji kwa muda mrefu. Na Jenifa Lazaro Akizungumza na Savvy FM mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora mhe Onesmo Lameck amesema…

June 5, 2025, 2:58 pm

Jamii yatakiwa kupinga ukatili

Wananchi watakiwa kuungana na kuwa mstari wa mbele kukemea na kupinga ukatili katika jamii. Na Mariam Mallya Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Voice of Women Africa lililopo mkoani Arusha, Veronica Daudi Kidemi amesema kuwa jamii ina nafasi kubwa ya kupinga vitendo…

June 2, 2025, 2:43 pm

Laigwanan kupasua chungu waliopora ardhi yao

Wananchi wa kijiji cha Engutukoit kata ya Oldonyowas wametoa siku 7 kupasua chungu kwa ajili ya watu wote wanaotaka kuwapora eneo la ardhi kwa ajili ya malisho ya mifugo yao. Na Juliana Laizer Wakizungumza katika mkutano ambao mgeni rasmi alikuwa…

May 27, 2025, 12:10 pm

Wawekezaji Monduli waonywa

Wawekezaji wa utalii katika bonde la mto wa Mbu wilayani Monduli wametakiwa kufuata sheria na taratibu za kiuwekezaji na kuepuka kujimilikisha maeneo yalio chini ya wananchi au vijiji bila kuwashirikisha kisheria. Na Juliana Lizer Onyo hilo limetolewa na mkuu wa…

May 26, 2025, 12:58 pm

Mgogoro wa barabara watatuliwa Arusha

Mgogoro wa barabara uliodumu kwa takribani wiki mbili baina ya wananchi na mwekazaji katika kata ya Olmot mtaa wa Mateves Ngaramtoni ya chini umetatuliwa na wananchi kupata barabara. Na Gasper Sambweti Wakizungumza na Savvy FM wananchi wa Ngaramtoni ya chini…

May 16, 2025, 9:56 am

Wazazi watakiwa kuwalida watoto dhidi ya ukatili

Wazazi wametakiwa kuwajengea watoto wao uwezo wa kujiamini kutokana na matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri hapa nchini. Na Mariam Mallya Afisa Mradi Magdalena Mchome kutoka Taasisi ya (WEGS) inayojihusisha na kuwainua wanawake kiuchumi pamoja na masuala ya kijinsia (WEGS) Iliyopo…

May 6, 2025, 2:00 pm

Wadudu waondoka na mwili wa marehemu msibani

Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha  wamemrudisha mwenzao aliyefariki  mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…

May 2, 2025, 1:06 pm

Changamoto za Bonde la mto Nduruma fursa kwa wananchi

Takribani wananchi elfu kumi katika Kata ya Mbuguni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha waliokuwa wakipata athari mbalimbali ikiwemo kupoteza makazi na maisha ya watu kutokana na bonde la Mto Nduruma kujaa maji wameanza kupata ahueni baada ya bonde hilo kudabuliwa. Na…

April 30, 2025, 5:47 pm

Jamii ya kimasai yasafirishwa hadi Kenya kujifunza hewa ukaa

Shirika la soil for the feature linalojishughulisha na biashara ya hewa ukaa limewasafirisha baadhi ya wananchi na viongozi wa vijiji na kata katika Wilaya za Monduli na Longido hadi Kajiado nchini Kenya ili kupatiwa elimu ya namna ya biashara hiyo…

April 24, 2025, 10:16 am

Milioni 5.3 kukarabati kituo cha afya Engorora

Halmashauri ya Arusha imetenga kiasi cha shilingi milioni 5.3 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Engorora ambalo limekuwa likikabiliwa na nyufa kwa muda mrefu hali inayosababisha kituo hicho kutotoa huduma za usiku kutokana na wahudumu…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania