Savvy FM
Savvy FM
June 5, 2025, 9:14 pm
Wananchi wa kitongoji cha Losinoni Kata ya Kisongo mkoani Arusha wanakwenda kunufaika na maji safi na salama baada ya kukosa maji kwa muda mrefu. Na Jenifa Lazaro Akizungumza na Savvy FM mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora mhe Onesmo Lameck amesema…
June 5, 2025, 2:58 pm
Wananchi watakiwa kuungana na kuwa mstari wa mbele kukemea na kupinga ukatili katika jamii. Na Mariam Mallya Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Voice of Women Africa lililopo mkoani Arusha, Veronica Daudi Kidemi amesema kuwa jamii ina nafasi kubwa ya kupinga vitendo…
June 2, 2025, 2:43 pm
Wananchi wa kijiji cha Engutukoit kata ya Oldonyowas wametoa siku 7 kupasua chungu kwa ajili ya watu wote wanaotaka kuwapora eneo la ardhi kwa ajili ya malisho ya mifugo yao. Na Juliana Laizer Wakizungumza katika mkutano ambao mgeni rasmi alikuwa…
May 27, 2025, 12:10 pm
Wawekezaji wa utalii katika bonde la mto wa Mbu wilayani Monduli wametakiwa kufuata sheria na taratibu za kiuwekezaji na kuepuka kujimilikisha maeneo yalio chini ya wananchi au vijiji bila kuwashirikisha kisheria. Na Juliana Lizer Onyo hilo limetolewa na mkuu wa…
May 26, 2025, 12:58 pm
Mgogoro wa barabara uliodumu kwa takribani wiki mbili baina ya wananchi na mwekazaji katika kata ya Olmot mtaa wa Mateves Ngaramtoni ya chini umetatuliwa na wananchi kupata barabara. Na Gasper Sambweti Wakizungumza na Savvy FM wananchi wa Ngaramtoni ya chini…
May 16, 2025, 9:56 am
Wazazi wametakiwa kuwajengea watoto wao uwezo wa kujiamini kutokana na matukio ya kikatili yanayoendelea kushamiri hapa nchini. Na Mariam Mallya Afisa Mradi Magdalena Mchome kutoka Taasisi ya (WEGS) inayojihusisha na kuwainua wanawake kiuchumi pamoja na masuala ya kijinsia (WEGS) Iliyopo…
May 6, 2025, 2:00 pm
Taharuki imetokea baada ya mwili wa marehemu kurudishwa mochwari mara mbili kabla ya kuzikwa. Na Michael Nanyaro Kundi la vijana wa bodaboda maarufu kama wadudu wilayani Arumeru jijini Arusha wamemrudisha mwenzao aliyefariki mochwari baada ya mwili kufikishwa nyumbani na familia,…
May 2, 2025, 1:06 pm
Takribani wananchi elfu kumi katika Kata ya Mbuguni Wilayani Arumeru Mkoani Arusha waliokuwa wakipata athari mbalimbali ikiwemo kupoteza makazi na maisha ya watu kutokana na bonde la Mto Nduruma kujaa maji wameanza kupata ahueni baada ya bonde hilo kudabuliwa. Na…
April 30, 2025, 5:47 pm
Shirika la soil for the feature linalojishughulisha na biashara ya hewa ukaa limewasafirisha baadhi ya wananchi na viongozi wa vijiji na kata katika Wilaya za Monduli na Longido hadi Kajiado nchini Kenya ili kupatiwa elimu ya namna ya biashara hiyo…
April 24, 2025, 10:16 am
Halmashauri ya Arusha imetenga kiasi cha shilingi milioni 5.3 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Engorora ambalo limekuwa likikabiliwa na nyufa kwa muda mrefu hali inayosababisha kituo hicho kutotoa huduma za usiku kutokana na wahudumu…
Savvy FM Proposal Summary
Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania