Savvy FM
Savvy FM
04/01/2026, 17:57
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranqhe, ametoa maelekezo kwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji kuandaa kikao maalum cha kukutana na mawakala wa uzoaji wa taka ili kujadili masuala mbalimbali yanayohusu usafi wa Jiji la Arusha. Na Mariam Mallya Maelekezo hayo…
18/12/2025, 18:26
Meya wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe, amesema ziara ya Waziri wa tamisemi, Riziki Shemdoe, mkoani Arusha imelenga kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa jijini humo, ikiwemo ujenzi wa uwanja wa mpira na ujenzi wa soko. Na Mariam Malya Akizungumza…
16/12/2025, 16:07
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla, amewataka madiwani wa Jiji la Arusha kuhakikisha wanakusanya mapato na kusimamia kikamilifu miradi inayotekelezwa ndani ya Jiji ili iweze kukamilika kwa wakati. Akizungumza leo katika mkutano na Baraza la Madiwani na Menejimenti ya…
15/12/2025, 18:43
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatatu Disemba 15, 2025 amefungua na kuongoza Kikao cha kusikiliza kero na changamoto za bodaboda na Bajaji Mkoa wa Arusha, Kikao kilichofanyika kwenye Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la…
04/12/2025, 17:37
Mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha umezinduliwa leo, tarehe 4 Desemba 2025, katika ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Arusha. Na Mariam Mallya Kabla ya uzinduzi huo, madiwani wote walikula viapo vya uadilifu…
27/11/2025, 18:01
Janga la kupungua kwa mnyama kazi punda limezidi kuongezeka nchini Tanzania, huku ikikadiriwa kuwa takribani punda 150 wanavushwa na kuchinjwa kila mwezi kinyume na taratibu, na kuuzwa katika maeneo mbalimbali nje ya nchi. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa kwa wadau…
27/10/2025, 12:15
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, amesema maandalizi ya uchaguzi yamekamilika katika maeneo matatu ya kampeni ambayo yanaelekea ukingoni. Aidha, ametangaza kuwa siku ya Jumatano itakuwa mapumziko kwa idara zote ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika zoezi…
22/10/2025, 23:15
Mafundi Gereji zaidi ya 200 Krokoni Waeleza Kero Zao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha, DC Mkude Aahidi Utekelezaji na Onyo kwa Wanaotumia Trampa Na Jenipha Lazaro Umoja wa Mafundi gereji Krokoni mtaa wa Kitangare, kata ya Kimandolu mkoani Arusha wamemuomba…
19/10/2025, 23:10
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…
18/10/2025, 22:15
Kufuatia kikao cha mkutano mkuu wa Kijiji cha Nambere kata ya sokoni 2 hapa mkoani Arusha kilichofanyika mwanzoni mwa mwezi huu, wananchi wa kijiji hicho wameazimia kuchukua hatua kali dhidi ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana, kina mama pamoja na…
Savvy FM Proposal Summary
Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania