April 24, 2025, 10:16 am
Audio

Milioni 5.3 kukarabati kituo cha afya Engorora

Halmashauri ya Arusha imetenga kiasi cha shilingi milioni 5.3 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Engorora ambalo limekuwa likikabiliwa na nyufa kwa muda mrefu hali inayosababisha kituo hicho kutotoa huduma za usiku kutokana na wahudumu…

Offline
Play internet radio

Recent posts

December 4, 2025, 5:37 pm

Baraza la Madiwani Arusha lazinduliwa, DC Mkude ateta

Mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha umezinduliwa leo, tarehe 4 Desemba 2025, katika ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Arusha. Na Mariam Mallya Kabla ya uzinduzi huo, madiwani wote walikula viapo vya uadilifu…

November 27, 2025, 6:01 pm

Janga kupungua kwa punda lashamiri nchini

Janga la kupungua kwa mnyama kazi punda limezidi kuongezeka nchini Tanzania, huku ikikadiriwa kuwa takribani punda 150 wanavushwa na kuchinjwa kila mwezi kinyume na taratibu, na kuuzwa katika maeneo mbalimbali nje ya nchi. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa kwa wadau…

October 27, 2025, 12:15 pm

Maandalizi ya uchaguzi Wilaya ya Arusha yamekamilika – DC Mkude atoa tamko

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, amesema maandalizi ya uchaguzi yamekamilika katika maeneo matatu ya kampeni ambayo yanaelekea ukingoni. Aidha, ametangaza kuwa siku ya Jumatano itakuwa mapumziko kwa idara zote ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika zoezi…

October 22, 2025, 11:15 pm

Atakaye kamatwa na trampa faini milioni moja

Mafundi Gereji zaidi ya 200 Krokoni Waeleza Kero Zao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha, DC Mkude Aahidi Utekelezaji na Onyo kwa Wanaotumia Trampa Na Jenipha Lazaro Umoja wa Mafundi gereji Krokoni mtaa wa Kitangare, kata ya Kimandolu mkoani Arusha wamemuomba…

October 19, 2025, 11:10 pm

NIDA, Leseni au Pasi ya Kusafiria kutumika kupigia kura

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…

October 18, 2025, 10:15 pm

Sheria kali kudhibiti mmomonyoko wa maadili

Kufuatia kikao cha mkutano mkuu wa Kijiji cha Nambere kata ya sokoni 2 hapa mkoani Arusha kilichofanyika mwanzoni mwa mwezi huu, wananchi wa kijiji hicho wameazimia kuchukua hatua kali dhidi ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana, kina mama pamoja na…

October 14, 2025, 2:54 pm

Makalla awasihi vijana kuepuka mihemko ya mitandaoni

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Amos Makalla, amewataka vijana nchini kuendelea kudumisha amani na utulivu kabla na baada ya uchaguzi, na kuacha kuendeshwa na mihemko ya mitandao ya kijamii inayohamasisha maandamano. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na wazee wa Mkoa…

October 13, 2025, 10:42 pm

Wazee Arusha kumuenzi Baba wa Taifa Mwl.Nyerere

Kuelekea maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere, jumuiya za wazee wa mkoa wa Arusha wameandaa matembezi ya amani ikiwa na lengo la kumuenzi. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa…

October 13, 2025, 10:27 pm

Mgombea udiwani CCM Mahamoud Saidi Omary aendelea kunadi sera zake

Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, mamia ya wananchi wa Kata ya Ungalimitedi wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Darajani kumsikiliza mgombea udiwani wa Kata ya Ungalimited kupitia Chama cha Mapinduzi…

October 4, 2025, 9:01 pm

Maadhimisho elimu ya watu wazima, nje ya mfumo rasmi yafana Arusha

Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika leo, Jumamosi tarehe 04 Oktoba 2025, katika viwanja vya Shule ya Msingi Levolosi, Wilaya ya Arusha. Maadhimisho haya yamekusanya washiriki mbalimbali wakiwemo walimu, wanafunzi wa…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania