Savvy FM

Wananchi kata ya Kisongo kunufaika na maji ya RUWASA

June 5, 2025, 9:14 pm

Onesmo Lameck, mwenyekiti Kijiji cha Engorora.Picha na Jenifa Lazaro

Wananchi wa kitongoji cha Losinoni Kata ya Kisongo mkoani Arusha wanakwenda kunufaika na maji safi na salama baada ya kukosa maji kwa muda mrefu.

Na Jenifa Lazaro

Akizungumza na Savvy FM mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora mhe Onesmo Lameck amesema ifikapo mwezi wa nane wananchi hao watakuwa wamepata maji kwenye nyumba zao

Sauti ya Onesmo Lameck,mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora

Katika hatua nyingine mwenyekiti huyo ameelezea miradi mwingine inayotekelezwa katika Kijiji chake ikiwemo miradi ya barabara,umeme,nk

Sauti ya Onesmo Lameck,mwenyekiti wa Kijiji cha Engorora