Recent posts
03/03/2026, 23:13
Arusha kuadhimisha siku ya wanawake duniani Machi 05
Wananchi wa jiji la Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yatakayofanyika kimkoa siku ya Machi 05/2026 katika viwanja vya Ngarenaro mkoani Arusha. Na Mariam Mallya Akizungumza katika Studio za Savvy FM Mratibu wa jinsia…
03/03/2026, 14:09
Zaidi ya mataifa 23 duniani yakutana kujadili usawa wa kijinsia Arusha
Mkutano wa kimataifa wa mafunzo ya usawa na jinsia, ulemavu na ujumuishwaji wa kijamii umezikutanisha nchi zaidi ya 23 duniani lengo likiwa ni kujadili namna yakuendelea kuhudumia jamii kwa kuzingatia usawa wa kijinsia kwa makundi yenye mahitaji maalumu. Na Mariam…
27/02/2026, 15:51
Arusha DC kuwawekea mazingira rafiki watumishi wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha (DC ),Bwn Sulemani Msumi, amesema halmashauri inaendelea kuweka mazingira rafiki kwa watumishi wake, ikiwemo walimu, hususan katika kata za pembezoni kwa kuwajengea nyumba za kuishi. Na Mariam Mallya Amesema kuwa katika mwaka…
26/02/2026, 22:56
Sekta ya viwanda, biashara yaweka mikakati kujiimarisha
Wasimamizi na watendaji wa taasisi zilizopo katika sekta ya viwanda na biashara wametakiwa kuondoa urasimu na kuwa wawezeshaji wa sekta binafsi, kuchochea shughuli za uzalishaji, masoko ya kimkakati na uchumi kwa maendeleo endelevu ya kisekta kwa Taifa. Na Mariam Mallya…
24/02/2026, 23:16
Arusha kung’arishwa na mabasi ya mwendokasi
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda, amesema jiji la Arusha linaendelea kunufaika na fedha za maendeleo zinazotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Na Mariam Mallya Akizungumza mapema leo…
24/02/2026, 09:40
Wachafuzi wa mazingira kuswekwa ndani Arusha
Uzinduzi huo umefanyika wakati wa kampeni ya NG’ARISHA JIJI inayolenga kuhamasisha usafi wa mazingira na kujenga utamaduni wa utunzaji wa Mji. Na Mariam Mallya Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, hivi karibuni amezindua rasmi vikundi vya vijana vya ukamataji…
17/02/2026, 14:44
Wadau walia na serikali utoroshaji wa punda nchini
Punda nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto kubwa za ustawi, ikiwemo ukosefu wa lishe bora, huduma za afya pamoja na ulinzi dhidi ya vitendo vya utoroshaji na biashara haramu. Na Mariam Mallya Wataalamu wa mifugo na wadau wa ustawi wa wanyama…
14/01/2026, 17:08
Uzinduzi mradi wa pikipiki wainua uchumi wa vijana Arusha
Zaidi ya vijana 200 jijini Arusha wameanza kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi kupitia mpango wa kukopeshana pikipiki kwa gharama nafuu, uliozinduliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji jijini Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya TVS (Trust Value Service), lengo likiwa…
06/01/2026, 17:10
Wananchi 1,200 Arusha wanufaika na matibabu ya moyo bure
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amekagua na kuzindua kitengo cha programu ya vipimo na matibabu bure kwa magonjwa ya moyo inayotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Arusha…
04/01/2026, 18:06
DC Arusha awataka wananchi kufanya uchunguzi wa afya mapema
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Arusha na maeneo jirani kuzingatia afya zao kwa kufanya uchunguzi wa mara kwa mara ili kuepukana na magonjwa yasiyo ya lazima, hususan magonjwa yasiyoambukiza.…