2 April 2026, 1:50 pm

Jamii yaonya unyanyapaa dhidi ya warahibu wa dawa za kulevya

Jamii imeaswa kuacha kuwanyanyapa warahibu wa dawa za kulevya kwani kufanya hivyo hupelekea waathirika hao kushindwa kufikia huduma za matibabu. Na Mariam Mallya Afisa Kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevvya kanda ya kaskazini Brenda Mbati amesema…

On air
Play internet radio

Recent posts

12 June 2026, 7:35 am

Jackson afariki dunia kwa kuchomwa kisu na ndugu yake Arusha

Hali ya majonzi na simanzi imetanda katika Kijiji cha Sokon II, Kata ya Sokon II, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha baada ya kijana mmoja aitwaye Jackson kufariki dunia kwa kuchomwa na kisu kufuatia ugomvi wa kifamilia. Na Michael Nanyaro Kwa…

31 May 2026, 5:29 pm

Youlead Summit 2026 tumaini jipya kwa vijana Afrika

Zaidi ya vijana 300 kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wameshiriki katika Kongamano la YouLead Summit 2026 linalofanyika katika kituo cha MS TCDC kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei 2026. Na Gasper Sambweti Kongamano hilo limewakutanisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya…

8 May 2026, 6:56 pm

Vijana Arusha waonywa matumizi ya dawa za kulevya

Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini DCEA kanda ya kaskazini imekabidhi vitanda 80 na magodoro 160 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 43 kwa waraibu zaidi ya 500 wanaoishi katika nyumba za upataji nafuu mkoani…

1 May 2026, 2:26 pm

Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…

2 April 2026, 1:50 pm

Jamii yaonya unyanyapaa dhidi ya warahibu wa dawa za kulevya

Jamii imeaswa kuacha kuwanyanyapa warahibu wa dawa za kulevya kwani kufanya hivyo hupelekea waathirika hao kushindwa kufikia huduma za matibabu. Na Mariam Mallya Afisa Kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na Dawa za kulevvya kanda ya kaskazini Brenda Mbati amesema…

17 March 2026, 1:30 pm

Wananchi Arusha wahimizwa ushirikiano katika malezi ya watoto

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, ndugu Seleman Msumi, amesema malezi bora ni kielelezo muhimu katika kufanikisha maendeleo endelevu katika jamii. Na Mariam Mallya Msumi ameeleza hayo jijini Arusha kwenye kongamano lililowakutanisha makundi ya malezi na walezi kutoka…

16 March 2026, 2:57 pm

Ushiriki wa baba katika malezi watajwa kuwa changamoto

Wadau wa masuala ya malezi na makuzi ya watoto wamesema ushiriki mdogo wa wanaume katika malezi ya watoto bado ni changamoto kubwa katika jamii, hali inayoweza kuathiri ukuaji na ustawi wa watoto. Na Mariam Mallya Mtaalam wa masuala ya ulinzi…

3 March 2026, 11:13 pm

Arusha kuadhimisha siku ya wanawake duniani Machi 05

Wananchi wa jiji la Arusha wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yatakayofanyika kimkoa siku ya Machi 05/2026 katika viwanja vya Ngarenaro mkoani Arusha. Na Mariam Mallya Akizungumza katika Studio za Savvy FM Mratibu wa jinsia…

3 March 2026, 2:09 pm

Zaidi ya mataifa 23 duniani yakutana kujadili usawa wa kijinsia Arusha

Mkutano wa kimataifa wa mafunzo ya usawa na jinsia, ulemavu na ujumuishwaji wa kijamii umezikutanisha nchi zaidi ya 23 duniani lengo likiwa ni kujadili namna yakuendelea kuhudumia jamii kwa kuzingatia usawa wa kijinsia kwa makundi yenye mahitaji maalumu. Na Mariam…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania