Recent posts
December 4, 2025, 5:37 pm
Baraza la Madiwani Arusha lazinduliwa, DC Mkude ateta
Mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha umezinduliwa leo, tarehe 4 Desemba 2025, katika ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Arusha. Na Mariam Mallya Kabla ya uzinduzi huo, madiwani wote walikula viapo vya uadilifu…
November 27, 2025, 6:01 pm
Janga kupungua kwa punda lashamiri nchini
Janga la kupungua kwa mnyama kazi punda limezidi kuongezeka nchini Tanzania, huku ikikadiriwa kuwa takribani punda 150 wanavushwa na kuchinjwa kila mwezi kinyume na taratibu, na kuuzwa katika maeneo mbalimbali nje ya nchi. Hali hii imeibua wasiwasi mkubwa kwa wadau…
October 27, 2025, 12:15 pm
Maandalizi ya uchaguzi Wilaya ya Arusha yamekamilika – DC Mkude atoa tamko
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mheshimiwa Joseph Modest Mkude, amesema maandalizi ya uchaguzi yamekamilika katika maeneo matatu ya kampeni ambayo yanaelekea ukingoni. Aidha, ametangaza kuwa siku ya Jumatano itakuwa mapumziko kwa idara zote ili wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika zoezi…
October 22, 2025, 11:15 pm
Atakaye kamatwa na trampa faini milioni moja
Mafundi Gereji zaidi ya 200 Krokoni Waeleza Kero Zao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha, DC Mkude Aahidi Utekelezaji na Onyo kwa Wanaotumia Trampa Na Jenipha Lazaro Umoja wa Mafundi gereji Krokoni mtaa wa Kitangare, kata ya Kimandolu mkoani Arusha wamemuomba…
October 19, 2025, 11:10 pm
NIDA, Leseni au Pasi ya Kusafiria kutumika kupigia kura
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Arusha Mjini, Shabani Ferdinand Manyamba, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, kwa mujibu wa Kifungu cha 69(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais,…
October 18, 2025, 10:15 pm
Sheria kali kudhibiti mmomonyoko wa maadili
Kufuatia kikao cha mkutano mkuu wa Kijiji cha Nambere kata ya sokoni 2 hapa mkoani Arusha kilichofanyika mwanzoni mwa mwezi huu, wananchi wa kijiji hicho wameazimia kuchukua hatua kali dhidi ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana, kina mama pamoja na…
October 14, 2025, 2:54 pm
Makalla awasihi vijana kuepuka mihemko ya mitandaoni
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Amos Makalla, amewataka vijana nchini kuendelea kudumisha amani na utulivu kabla na baada ya uchaguzi, na kuacha kuendeshwa na mihemko ya mitandao ya kijamii inayohamasisha maandamano. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na wazee wa Mkoa…
October 13, 2025, 10:42 pm
Wazee Arusha kumuenzi Baba wa Taifa Mwl.Nyerere
Kuelekea maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere, jumuiya za wazee wa mkoa wa Arusha wameandaa matembezi ya amani ikiwa na lengo la kumuenzi. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa…
October 13, 2025, 10:27 pm
Mgombea udiwani CCM Mahamoud Saidi Omary aendelea kunadi sera zake
Zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, mamia ya wananchi wa Kata ya Ungalimitedi wamejitokeza kwa wingi katika Mtaa wa Darajani kumsikiliza mgombea udiwani wa Kata ya Ungalimited kupitia Chama cha Mapinduzi…
October 4, 2025, 9:01 pm
Maadhimisho elimu ya watu wazima, nje ya mfumo rasmi yafana Arusha
Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika leo, Jumamosi tarehe 04 Oktoba 2025, katika viwanja vya Shule ya Msingi Levolosi, Wilaya ya Arusha. Maadhimisho haya yamekusanya washiriki mbalimbali wakiwemo walimu, wanafunzi wa…