Uncategorized
27 March 2021, 4:34 am
“Magufuli ameacha haya wewe na mimi tutaacha nini?”-Padri Nyanga.
Waamini wa Kanisa Romani Katoliki Parokia ya Familia takatifu Kilosa Mkoani Morogoro wamefanya ibada ya misa takatifu kwa ajili ya kumuombea hayati Dakta John Pombe Magufuli katika safari yake ya mwisho ambapo machi 26 2021 mazishi yamefanyika Nyumbani kwao Chato…
21 March 2021, 11:39 am
Tubadirike Magufuli kurudi Kilosa hatopita barabara wala Reli ya mwendokasi .
Waumini wa Romani katoliki parokia ya familia takatifu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wametakiwa kubadirika ndani ya mioyo yao na kumrudia Mungu hasa kipindi hiki cha kwaresma kwa kufunga Kulia na kuomboleza kwakuwa hakuna anaejua siku wala saa ya kifo chake…
20 March 2021, 4:05 pm
Waadvendista wasabato wafanya matendo ya huruma -Kilosa.
Waumini wa Kanisa la Waadvendista wasabato Kilosa lililoko Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wameadhimisha wiki ya huduma kwa jamii kwa kufanya matendo ya huruma kama vile kuchangia damu , kutoa mahitaji kwa watu wenye mahitaji maalumu , ikiwa ni pamoja na…
17 March 2021, 11:57 am
Zaidi ya wanafunzi 2700 kupewa elimu ya Kinywa Kilosa -Dk Kibula.
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kupitia idara ya afya wanatarajia kutoa elimu ya afya ya Kinywa na meno pamoja na vifaa vya kushafishia Kinywa kwa wanafuzi 2721 kwa ajili ya kujikinga na magonjwa mbalimbali ya Kimywa na meno.…
16 March 2021, 11:44 am
Bilion 1.27 kumaliza tatizo la maji kilosa-Injinia Chum.
Zaidi ya bilion 1.27 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maji safi na salama Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro ili wananchi waweze kupata huduma ya maji saa 24 kwa mwaka . Hayo yamesemwa machi 16 2021 na Meneja wakala wa maji na…
16 March 2021, 9:42 am
Ruwasa kumaliza tatizo la maji kilosa -Injinia Joshi
13 March 2021, 4:30 am
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walia na Serikali -Kilosa
Watoto wanaishi katika mazingira magumu walioko Kata ya magomeni Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro amba wanafahamika kwa jina la Magomeni Children Development Machide wamomba serikali na wadau mbalimba kuwatazama katika jicho la huruma ili kuwasaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili katika…
11 March 2021, 7:52 pm
Halmashauri ongezeni nguvu katika sekta ya kilimo-DC Mgoyi.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ametoa rai kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kutambua kuwa Wilaya ya Kilosa ni wilaya ya kilimo iliyojaa mito yenye maji ya kutosha hivyo ni vema wilaya ikajikita zaidi katika uzalishaji ili kupata…
4 March 2021, 9:51 am
Jamii yasisitizwa kuendelea kuchukua tahadhari .
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi ameonyesha kuridhishwa kwake na utendaji kazi wa kitengo kinachosimamia utekelezaji wa afua mbalimbali katika kitengo cha magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kwa namna ambavyo kimekuwa kikifanya majukumu yake na kutoa mrejesho chanya katika utekelezaji…
28 February 2021, 11:23 am
Zaidi ya shilingi bilioni 1.6 za Saccos ya Walimu kilosa zimepotea walio husika…
Chama cha ushirika Saccos ya Walimu Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kimepoteza fedha zaidi ya shilingi Bilioni 1.6 baada ya wanachama na wanufaika wengine kukopa na kushindwa kurejesha kwa wakati kutoka mwaka 2007 hadi 2017 ambapo Mrajisi msaidizi wa vyama…