Uncategorized
30 January 2023, 9:32 am
Waziri Ndaki awataka wafugaji kubadilika.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mashimba Ndaki (Mb)amewataka wafugaji kubadilika kwa kuacha mfumo wa ufugaji wa mazoea kwa kutegemea ardhi ya Jumuiya na badala yake wawe na eneo la kufugia Mifugo Yao eneo ambalo atatumia liwe linatambulika kisheria. Waziri…
30 January 2022, 1:51 pm
Epuka uchafu wa Mazingira Kilosa -M/kiti Chabu.
Wito umetolewa kwa jamii Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro kujenga tabia ya kushiriki kufanya usafi wa Mazingira na kupanda miti kwa ajili ya kuepuka magojwa ya mlipuko na kutunza Mazingira Wilayani humo . Wito huo umetolewa Januari 29 mwaka huu na…
27 November 2021, 2:16 am
Kilosa ya ng’ara Kwa usafi-Dc Mwanhga.
23 June 2021, 10:58 am
DC ataka heshima kazini, Narudi kufundisha Madrasa.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro Alhaji Majid Hemed Mwanga juni 22 2021 amewataka Viongozi wote Wilayani humo kuwa wabunifu pamoja na kufanya kazi kwa umoja, kushirikiana bila kubaguana wala kudharauliana kwani kwa kufanya hivyo Wilaya itasonga mbele zaidi…
22 June 2021, 7:38 pm
Kambi za kujitambua kujithamini na kujiamini ziwe endelevu.
Rai imetolewa kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na shule za sekondari kujenga msingi endelevu wa kuwa na kambi za watoto wa kike kipindi cha likizo lengo ikiwa ni kuwaweka pamoja ili waweze kujifunza masomo mbalimbali ikiwemo lugha…
21 April 2021, 10:15 am
Kata ya malolo yapongezwa kwa ujenzi wa kituo Cha Afya .
Wananchi wa kata ya Malolo pamoja na uongozi wake wamepongezwa kwa namna ambavyo wameonyesha umoja na ushirikiano katika kujiletea maendeleo katika kata yao kwa ushirikiano mkubwa waliouonyesha katika kufanikisha ujenzi wa kituo cha afya Malol. Pongezi hizo zimetolewa Aprili 20…
20 April 2021, 10:40 am
Meneja TRA Kilosa atoa siri ukusanyaji kodi .
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro imefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 3.6 kutoka kwa wafanyabiashara waliolipa kodi kwa wakati kwa mwaka wa fedha 2020/2021 ambako kumechangia kuongeza mapato katika Wilaya na kuiwezesha serikali kutimiza malengo ya…
16 April 2021, 11:19 am
Kikundi cha Kiwasai chafaidika na vifaranga vya samaki 1000.
Katika kuhakikisha jamii inaepukana na changamoto ya udumavu, Shirika la Save the Children kupitia mradi wa Lishe endelevu unafadhiliwa(USAID) April 15 umetoa vifaranga vya samaki aina ya Sato elfu moja katika kikundi cha KIWASAI kilichopo Ilonga Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro.…
7 April 2021, 10:45 am
Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan -Moropc.
Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) kinampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuitaka Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo kuvifungulia vyombo vyote vya Habari vilivyofungiwa na Serikali kwa Makosa mbalimbali.…