MABADILKOYATABIANCHI
29 October 2023, 4:03 pm
Jamii Tanga yaaswa kuzingatia lishe, kujenga afya bora
“kuanzia miaka 10 hadi 19 ni umri wenye tabia za ulaji wa vyakula vyenye mafuta,sukari na chumvi na kutokula mboga mboga na matunda” Halmashauri ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga imeadhimisha siku ya lishe katika ofisi ya kata ya Pangani…
10 October 2023, 2:50 pm
Elimu yahitajika kukomesha unyanyapaa kwa wagonjwa wa afya ya akili
“Magonjwa ya afya ya akili yanatibika iwapo utabaini mapema na kuanza matibabu“ Na Mwandishi wetu Kukosekana kwa elimu ya kutosha kwenye jamii juu ya magonjwa ya afya ya akili kumechangia unyanyapaa kwa watu wanaougua magonjwa hayo. Hayo yamesemwa na mwanasaikologia…
12 May 2023, 1:41 pm
Wauguzi Pangani waombwa kuboresha mawasiliano kwa wagonjwa
Na Erick Mallya Ikiwa leo ni siku wa wauguzi duniani,wauguzi wilayani pangani mkoani tanga wameombwa kuboresha mahusiano na mawasliano baina yao na wagonjwa Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi wilayani pangani walipozungumza na pangani FM katika ripoti maalum ya maadhmiho…
15 November 2021, 3:02 pm
COP 26: Hatua za muhimu bado Vitendawili.
Kuanzia October 31 hadi Novemba 13 mwaka huuu Viongozi mbalimbali wamekutana nchini Scotland Kushiriki katika Mkutano unaofahamika kwa jina COP ikiwa mwaka huu ni COP26. Tanzania ikiwakilishwa na VIONGOZI mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…