Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
21 March 2025, 4:35 pm
Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Wakala wa huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero Wajielekeza katika kuokoa bonde la Kilombero kwa kutunza misitu ya asili na kurithisha utamaduni wa Kupanda miti kwa uendelevu wa Rasilimali mbalimbali. Mhifadhi Misitu Wilaya hiyo…
7 March 2025, 12:01 PM
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi. Mariam Kasembe akiwa ameongozana na kamati ya siasa wakati wa ukaguzi wa miradi halmashauri ya mji Masasi. Picha na Godbless Lucius Kamati hiyo imepongeza hatua ya halmashauri ya Mji Masasi, kwa kutumia mapato…
20 February 2025, 16:55
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…
13 February 2025, 9:38 pm
Na Katalina Liombechi Wakala wa huduma za Misitu Tanzania TFS Wilaya ya Kilombero imesema kuwa Radio imekuwa na Mchango mkubwa katika kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia nchi. Hayo ni kwa Mujibu wa Mhifadhi Daraja la Kwanza Kutoka mamlaka hiyo Shukrani…
25 January 2025, 11:07 am
Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Tanzania kuja na mikakati ya miaka 20 kuendelea kutunza na kurejesha mandhari ya Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa kufanya dunia kuwa sehemu salama kwa maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla. Mikakati hiyo…
21 January 2025, 11:39 am
Wananchi manispaa ya Geita wakumbushwa kuzingatia mipaka ya viwanja vyao kabla ya kuanzisha ujenzi ili kuondoa changamoto zinazoweza kupelekea migogoro. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wananchi wakazi wa eneo la Nguzombili mtaa wa Mwatulole kata ya Buhalahala wamelalamikia…
3 January 2025, 2:08 pm
Na Katalina Liombechi Jamii imeshauriwa kutotumia maji yasiyotibiwa ili kuepuka magonjwa mbalimbali yanayotokana uchafu kama kipindupindu. Mbonja Kasembwa ni Afisa Afya katika Halmashauri ya Mlimba Wilaya ya Kilombero ameiambia Pambazuko FM kuwa kumekuwa na utamaduni wa baadhi ya watu kutumia…
28 December 2024, 7:22 pm
Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na changamoto za shughuli za kibinadamu zinazohatarisha upotevu wa Bionuwai na Mabadiliko ya tabianchi mashirika ya kimataifa na ya kikanda kama African Wildlife Foundation (AWF) yamejizatiti kutafuta suluhisho endelevu. Mchumi Kilimo kutoka AWF Alexander Mpwaga…
28 December 2024, 7:12 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wanaofanya kilimo cha umwagiliaji wameshauriwa kutumia teknolojia ya kilimo shadidi inayozingatia matumizi sahihi ya rasilimali maji ambayo haiathiri uendelevu wake. Mkuu wa Idara ya Kilimo Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Romanus Myeye ameyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano…
27 December 2024, 2:44 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wa Kokoa wameshauriwa kuzingatia uvunaji na uhifadhi mzuri wa Kokoa ili mazao yaweze kukubalika sokoni. Kwa mujibu wa Afisa Kilimo Mratibu wa zao la Kokoa Halmashauri ya Mlimba Dismas Charles Amri amesema katika kuvuna kokoa kuna…