maji
20 March 2024, 6:04 pm
Wanajamii watakiwa kutunza miundombinu ya maji.
Na Joyce Elius. Wakaazi wa Kijiji cha Terrat wilayani simanjiro wametakiwa kutunza vyanzo vya maji pamoja na miundombinu ya maji ili iwe endelevu na kuendelea kutumiaka kwa vizazi vijavyo. Wito huo umetolewa siku ya leo kijijini hapo katika mkutano wa…
19 March 2024, 8:59 pm
Dkt.Serera Mgeni rasmi kilele wiki ya maji Simanjiro.
“Kwanini tumechagua Terrat kufanyika kilele cha wiki ya maji kwanza tumetekeleza mradi wa maji hivi karibuni ,lakini kingine ni utayari wa kwanzia ofisi za wilaya hadi huku chini lakini pia na ratiba yetu”Mhandisi Joanes Martin Meneja RUWASA Simanjiro. Na Mwandishi…
8 March 2024, 2:03 pm
Unashirikiana na kiongozi wako katika utunzaji wa vyanzo vya maji?
Jamii kwa ujumla ina nafasi kubwa katika kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kutunzwa lakini kuna changamoto kadhaa ikiwemo wao wenyewe kutofahamu umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwa…
15 March 2022, 7:59 pm
Wiki ya maji Simanjiro
HABARI. Na pascal sulle Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 15 Machi 2022 ameweka jiwe la msingi mradi wa maji wa Orkesumet unaogharimu shilingi bilioni 41.5 uliopo Simanjiro mkoani Manyara. Makamu…
10 March 2022, 7:14 pm
Bilioni 1.5 mradi wa maji Terrat Simanjiro
HABARI. na pascal sulle Kaimu meneja wa Ruwasa wilaya ya simanjiro Eng. Johanes Martine amesema serikali imetoa kiasi cha fedha bilioni 1.5 kwa ajili ya kuleta mradi wa maji katika kata ya terat yenye vijiji vitatu na vijiji hivyo vyote…