Maji
22 April 2024, 10:05 am
Bilioni 2.8 kufanya ukarabati wa chanzo cha maji bonde la Fukurwa
Uchakavu wa miundombinu ya maji katika chanzo cha maji bonde la Fukurwa chanzo cha upotevu wa huduma ya maji. Na Mwandishi wetu Jumla ya fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2.8 zinahitajika ili kufanya ukarabati wa chanzo cha maji cha bonde…
3 April 2024, 9:57 am
Zaidi ya miche 2,000 yapandwa kijiji cha Ulole
Licha ya serikali kuwa na utaratibu wa kupanda miti mara kwa mara bado kumekuwa na tabia ya wananchi kuharibu huku serikali ikapanga kuwachukulia hatua wanaokata miti ovyo. Na Adelphina Kutika Zaidi ya miche 2,000 ya miti rafiki na maji imepandwa…
18 March 2024, 12:58 pm
Iruwasa kutoa elimu maadhimisho ya wiki ya maji Iringa
Iringa ikiadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira IRUWASA imepanga kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi wote. Na Hafidh Ally Ikiwa tupo katika wiki ya maji, Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira IRUWASA Mkoa wa…
7 March 2024, 2:55 pm
Makala kuhusu ukosefu wa maji kijiji cha Mawambala
Wananchi wa Kijiji cha Mawambala Kilichopo Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wanatumia maji ya kisima yanayohatarisha afya zao. Na Hafidh Ally