Nuru FM

Maji

3 April 2024, 9:57 am

Zaidi ya miche 2,000 yapandwa kijiji cha Ulole

Licha ya serikali kuwa na utaratibu wa kupanda miti mara kwa mara bado kumekuwa na tabia ya wananchi kuharibu huku serikali ikapanga kuwachukulia hatua wanaokata miti ovyo. Na Adelphina Kutika Zaidi ya miche 2,000 ya miti rafiki na maji  imepandwa…

18 March 2024, 12:58 pm

Iruwasa kutoa elimu maadhimisho ya wiki ya maji Iringa

Iringa ikiadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira IRUWASA imepanga kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi wote. Na Hafidh Ally Ikiwa tupo katika wiki ya maji, Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira IRUWASA Mkoa wa…