Nuru FM
Nuru FM
17 December 2025, 9:30 pm
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 walitengewa jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 12.3 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya aina mbalimbali ya barabara na madaraja Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imetangaza rasmi kuanza kumkata fedha mkandarasi…
17 December 2025, 9:18 pm
Kikundi hicho kabla ya kufanya mkutano mkuu wa mwaka , kimefanya matembezi kuelekea katika kituo cha afya Nyarugusu kwa ajili kutoa zawadi kwa wagonjwa , vifaa tiba pamoja na kuchangia damu. Na Mrisho Sadick: Viongozi wa dini katika Kata ya…
12 December 2025, 1:55 pm
RUWASA imetakiwa kuhakikisha inapunguza upotevu wa maji na malalamiko ya bili kwa kufunga mita za wateja majumbani badala ya sehemu zilizo mbali na makazi yao. Na Mrisho Sadick: Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama wilayani Nyang’hwale mkoani Geita…
12 December 2025, 12:12 pm
Vipaumbele vikubwa vya fedha hizo za CSR ni huduma za Afya kwakuwa kata hizo zina ongezeko kubwa la watu kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata nne za Halmashauri ya wilaya ya Geita Mkoani…
11 December 2025, 3:27 pm
Picha ni Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mazengo , Rehema Nkungu katika ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi hiyo imefanywa na Kamati ya Uongozi wa…
5 December 2025, 2:25 pm
Changamoto zilizokuwa kikwazo mwaka Jana ikiwemo wazazi kuwalazimisha watoto kufeli, ukosefu wa chakula shuleni pamoja na baadhi ya wadau kutowajibika ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Ufaulu wa mtihani wa darasa la saba katika Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita umeongezeka kutoka asilimia…
5 December 2025, 2:03 pm
Hakuna madhara ya kibinadamu kwakuwa jitihada kubwa zilifanyika kuuzima moto huo kwa kushirikiana na majirani. Kale Chongela: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vitu vya ndani katika chumba cha Bw. David Pankras, mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A Kata ya…
3 December 2025, 7:18 pm
Mradi huo utatekelezwa kwa miaka miwili, utatoa huduma ya upimaji, utoaji wa bima za Afya kwa watoto zaidi ya 300 ambao hawana uwezo wa kumudu matibabu. Na Mrisho Sadick: Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kuimarisha mapambano dhidi ya…
1 December 2025, 2:14 pm
Changamoto mbalimbali zinazokabili chuo hicho ikiwemo ukosefu wa uzio unaohatarisha mali za chuo, upungufu wa zana za kisasa za mafunzo. Na Mrisho Sadick: Taasisi za serikali na zile za binafsi wilayani Geita zimetakiwa kuwapa kipaumbele vijana waliohitimu mafunzo ya Ufundi…
1 December 2025, 1:40 pm
Mtandao huo umefanikisha ujenzi wa vyoo katika shule ya sekondari Kasamwa ikiwemo chumba maalumu kwa ajili ya wasichana watakapokuwa wakati wa hedhi. Na Mrisho Sadick: Mtandao wa marafiki wa elimu Kanda ya Ziwa umetoa msaada wa chakula kwenye kituo cha…