Mufindi FM

Habari za Iringa

9 April 2024, 10:33

DC Mufindi aandaa futari

Na Marko Msafili- Mufindi Wakati waumini wa dini ya Kiislamu kote ulimwenguni wakiendelea na mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, waumini wa dini ya Kiislamu wilayani Mufindi wameshiriki futar iliyoandaliwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Dkt. Linda Salekwa. Hafla…

21 March 2024, 18:33

Mbunge Chumi akabidhi ambulance Ifingo

Na Bestina Nyangaro/Mafinga Mbunge wa Jimbo la Mafinga mjini Mh. Cosato David Chumi amekabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) katika kituo cha afya Ifingo kata ya Kinyanambo. Hafla ya kukabidhi gari hilo imefanyika leo machi 21 2024, kwa lengo la…

12 March 2024, 08:25

RC Serukamba: Kijiji kwa kijiji

Na Marko Msafili/IringaMarchi 10, 2024 yamefanyika Makabidhiano ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kati ya Mkuu wa sasa wa Mkoa huo Mhe. Pater Serukamba na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Halima Dendego ambaye amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoani…