afya
22 February 2024, 12:50 pm
Mbunge Maboto, akabidhi gari la wagonjwa kituo cha afya Wariku
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Robert Chacha Maboto siku ya leo amemkabidhi Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Bunda, Emmanuel Mkongo gari mpya ya kubebea Wagonjwa itakayo toa huduma katika kituo cha afya Wariku. Na Thomas Masalu Mbunge wa…
18 February 2024, 5:14 pm
RUPA Memorial hospital kutoa huduma za kibingwa hasa kwa akina mama saa 24
Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Bunda Saimon Chibuga Masondole amewataka matabibu kufanya kazi kwa moyo kwa kuwa Mungu amewapa karama ya uponyaji. Na Adelinus Banenwa Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Bunda Saimon Chibuga Masondole amewataka matabibu kufanya kazi…
17 February 2024, 11:07 pm
Kituo cha afya Bunda chadaiwa kuwatoza fedha wajawazito, watoto
Wananchi wamelalamikia kituo cha afya bunda kuwatoza fedha akina mama wanaokwenda kujifungua na watoto chini ya miaka mitano kinyume na sera ya afya. Na Adelinus Banenwa Wananchi wamelalamikia kituo cha afya Bunda kuwatoza fedha akina mama wanaokwenda kujifungua na watoto…
9 February 2022, 9:58 am
Serikali kuwalinda mangariba walioacha kukeketa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewapongeza Ngariba waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya ukeketaji baada ya kuacha kufanya vitendo hivyo na kisha kugeuka kuwa wanaharakati wa kukemea vitendo vinavyo dhalilisha utu wa mtoto…
24 May 2021, 11:59 am
Dkt Tinuga; Serikali inatambua mchango mkubwa wa wauguzi
Maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani kwa mkoa wa Mara imefanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambapo mgeni Rasmi alikuwa mganga mkuu wa mkoa wa Mara DKT FROLIAN TINUGA kwa niaba ya katibu tawala wa mkoa Katika kujibu risala…
18 May 2021, 5:32 pm
Dkt Yunge; aitaka jamii izingatie lishe bora
Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Dkt Nuru Yunge ameitaka jamii kuzingatia lishe bora ili kupunguza matatizo ya magonjwa Hayo yamesemwa na wakati akizungunza na watendaji wa kata 19 za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kubainisha kuwa…