Mazingira FM

afya

9 February 2022, 9:58 am

Serikali kuwalinda mangariba walioacha kukeketa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amewapongeza Ngariba waliokuwa wanajihusisha na vitendo vya ukeketaji baada ya kuacha kufanya vitendo hivyo na kisha kugeuka kuwa wanaharakati wa kukemea vitendo vinavyo dhalilisha utu wa mtoto…

18 May 2021, 5:32 pm

Dkt Yunge; aitaka jamii izingatie lishe bora

Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Dkt Nuru Yunge ameitaka jamii kuzingatia lishe bora ili kupunguza matatizo ya magonjwa Hayo yamesemwa na  wakati akizungunza na watendaji wa kata 19 za Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na kubainisha kuwa…