Keifo FM

Uncategorised

4 January 2024, 12:45

Kyela:Samia atua rasmi Kyela

Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasan akiendelea kutekeleza miradi mikubwa yenye fedha nyingi jukwaa la kumsemea MAMA maarufu kama CHAMATA limeanzishwa rasmi wilayani kyela na kufanya uchaguzi wa viongozi wake. Nsangatii Mwakipesile Umoja wa jukwaa…

13 December 2023, 16:48

Mwinuka: Asante serikali Mwangany’anga imekuwa jicho la Kyela

Diwani wa kata ya Mwangany’anga wilayani Kyela Alex Mwinuka ameishukuru serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami katika kata hiyo. Na Nsangatii Mwakipesile. Wakati serikali ikiendelea na jitihada za…

11 September 2023, 12:51

Wazazi wilayani Kyela wahimizwa kuwapeleka watoto kliniki

Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…