![](https://radiotadio.co.tz/keifofm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/keifofm/wp-content/uploads/sites/40/2023/09/logo-150x150.jpg)
4 January 2024, 12:45
Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasan akiendelea kutekeleza miradi mikubwa yenye fedha nyingi jukwaa la kumsemea MAMA maarufu kama CHAMATA limeanzishwa rasmi wilayani kyela na kufanya uchaguzi wa viongozi wake. Nsangatii Mwakipesile Umoja wa jukwaa…
13 December 2023, 16:48
Diwani wa kata ya Mwangany’anga wilayani Kyela Alex Mwinuka ameishukuru serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami katika kata hiyo. Na Nsangatii Mwakipesile. Wakati serikali ikiendelea na jitihada za…
27 November 2023, 19:10
Jumla ya shilingi milioni kumi na tano zimetolewa na serikali ya awamu ya sita kwaajiri ya ujenzi wa miundombinu ya machinjio ya kisasa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Wakati serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea kuboresha miundombinu…
11 September 2023, 12:51
Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…