DTBBANK
14 September 2024, 3:27 pm
Wastaafu waaswa kuacha kutumia ‘pensheni’ kwa anasa
Wasitafu wengi nchini wamekua wakijikuta wakiishi maisha magumu licha ya Serkali kuwalipa kiinua mgongo,huku baadhi yao wakitajwa kutumia pensheni zao kwa anasa za Dunia. Na Emmanuel Twimanye. Wazee wastaafu wilayani Sengerema mkoani Mwanza wametakiwa kuacha kutumia pensheni zao kwa anasa badala…
13 September 2024, 7:34 pm
Miganga wadhamiria ujenzi wa ofisi Serikali ya Mtaa
Kukamilika kwa ujenzi kwa ujenzi wa ofisi ya serikali ya mtaa kutaboresha utoaji wa huduma kwa ufanisi kwa wananchi. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa ofisi ya serikali ya Mtaa katika mtaa wa Miganga kata ya Mkonze jijini Dodoma ambao umeanza…
8 September 2024, 2:34 pm
Polisi watoa msaada kituo cha watoto yatima Sengerema
Katika kuadhimisha kutimiza miaka 105 ya Jeshi la Polisi Tanzania, jeshi hilo limejipanga kutoa elimu na msaada kwa jamii . Na;Elisha Magege Jeshi la polisi wilayani Sengerema limetoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima cha bustani…
5 September 2024, 22:54
Wafugaji Mbeya wampongeza Dkt.Samia kwa uchapakazi wake wa vitendo
Katika kuondoa migogoro kati ya wafugaji na wakulima Serikali Imeendelea kuwa karibu na makundi hayo kujua changamoto ambazo wanakabiliana nazo ili ziweze kutatuliwa. Na Hobokela Lwinga Chama Cha mapinduzi kupitia Serikali yake inayongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Dkt.samia suluhu…
30 July 2024, 3:27 pm
Jamii yatakiwa kuwa makini na mawakala wa ajira nje ya nchi
Tarehe 30 Julai,na mara zote kila mwaka huwa ni Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, uhalifu wa kutisha na mashambulizi kamili dhidi ya haki, usalama na utu wa binadamu. Na:Elisha Magege Ili kukabiliana na wimbi la…
24 July 2024, 5:23 pm
Sengerema kuzindua Sekondari mpya 11 mwakani
Halmashauri ya Sengerema inatarajia kukamilisha ujenzi wa shule 11 mwakani na kuwa na jumla ya shule za Sekondari 46 waipongeza serikali ya awamu ya Sita Na:Elisha Magege Shule 11 mpya za Sekondari zinatarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu na kuanza…
20 July 2024, 6:28 pm
Mbunge awataka wananchi kujitokeza kujiandikisha kupiga kura
Mbunge wa jimbo la Busanda amekuwa na mwendelezo wa kufanya mikutano ya hadhara kwenye jimbo lake yenye lengo la kusikiliza kero kutoka kwa wananchi. Na;Elisha Magege Mbunge wa Jimbo la Busanda Mhandisi Tumaini Magesa amewaomba wananchi wote wa Jimbo hilo…
13 July 2024, 10:30 am
Changamoto za shule ya msingi Kitengule kutatuliwa
Na Eliud Henry Changamoto mbalimbali kwa shule za msingi na sekondari nchini zimekuwa kikwazo cha ufaulu na maendeleo ya watoto hasa linapokuja suala la miundombinu mibovu au chakavu na mabweni kwa wenye mahitaji maalum Shule ya msingi Kitengule inayohudumia watoto…
10 July 2024, 3:00 pm
Watakaotumia vyandarua kufugia vifaranga, bustani kukiona
Mkoa wa Mwanza umepokea vyandarua Milioni 1.4 kwenda Halmashauri 6 vitagawiwa kwa wananchi bila malipo zikilenga kaya zote ambazo zinakabiliwa na changamoto ya ugonjwa Maralia Na:Elisha Magege Katika jitihada za kupambana na ugonjwa wa maralia nchini Halmashauri ya Sengerema inatarajia…
9 July 2024, 1:29 pm
Jamii yatakiwa kuwa mstari wa mbele kuwalinda wenye ualbino
Serikali kupitia kwa waziri mkuu Kassimu Majaliwa akiwa Bungeni Dodoma hivi karibuni alisema Serkali inaandaa Mpango wa Kuzuia Ukatili dhidi ya Watu wenye Ualbino (NAP) kwa kushirikiana na Chama cha Watu Wenye Ualbino (TAS) na wadau Na:Elisha Magege Jamii imetakiwa…