Joy FM
Joy FM
3 September 2025, 08:49
Serikali Mkoani Kigoma imeanza kuchukua hatua kuhusu mgogoro wa eneo la hekta 10,000 ambalo wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wanadaiwa kuvamia eneo la mwekezaji kampuni ya FAZENDA ambayo imekusudia kuwekeza katika mradi wa kilimo huku…
1 September 2025, 15:27
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia wavuvi na wachakataji wa mazao ya uvuvi na kuwapatia masoko. Na Kadislaus Ezekie Wananchi mkoani Kigoma ambao wamejikita katika ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba kwa kufuga samaki aina ya sato wa Ziwa Tanganyika pamoja…
31 August 2025, 10:39 am
“Zoezi la chanjo ya mifugo siyo la hiari bali la lazima maana lipo kisheria na linasaidia kupunguza magonjwa ya mlipo kwa mifugo hivyo wafugaji wote muone umuhimu wa zoezi hili kwa kuipeleka mifugo yenu ikapate chanjo” DC Maswa Dkt. Vicent…
31 August 2025, 7:26 am
Amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa katika shughuli za uvuvi wa samaki. Na Edward Lucas. Aloyce Komanya (32), mkazi wa mtaa wa Bushigwamala, kata ya Guta katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, mkoani Mara, amenusurika kuliwa na mamba wakati akiwa…
29 August 2025, 17:30
Wafanyabiashara wadogowadogo Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo inayotolewa na taasisi za benki na Halmashauri ili waweze kujikwamua kiuchumi. Na Orida Sayon Shirikisho la umoja wa machinga Tanzania (SHIUMA) kanda ya magharibi limefanya kongamano la kumpongeza Dkt Samia…
28 August 2025, 10:51
Serikali imetoa wito kwa mabenki kubuni mipango mbalimbali ya utoaji wa elimu kwa umma na kuelekeza nguvu zaidi katika kukuza uelewa juu ya masuala ya kifedha pamoja na umuhimu wa kutumia huduma za benki. Na Emmanuel Matinde – Kigoma Makamu…
27 August 2025, 8:36 pm
Mwandishi, Edward Lucas. Familia mbili zimeingia kwenye mvutano kuhusu mahali pa kumzika Maria Vitalis Paulo (30), mwanamke anayedaiwa kuuawa na mume wake Mwita Ngere Mwita (37) kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hilo limetokea katika kijiji cha…
21 August 2025, 11:12 pm
Na Edward Lucas. Juma Lutamula (33), mchimbaji katika mgodi wa Walwa uliopo katika machimbo ya Kinyambwiga, amepatikana jioni ya leo akiwa tayari amefariki baada ya kufukiwa na kifusi wakati akifanya kazi ya ujenzi wa duara la uchimbaji. Lutamula alipata ajali…
21 August 2025, 6:15 pm
Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM ametangaza juu ya kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwepo wakati wa kutafuta mgombea wa CCM kata. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM…
18 August 2025, 11:50 pm
Ruangwa, Lindi Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…