Joy FM
Joy FM
11 September 2025, 7:56 pm
Ushahidi uliotolewa na Jamhuri ulithibitisha bila kuacha shaka. Na Kuruthumu Mkata Mahakama kuu iliyoketi Ifakara Kilombero imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Elopi Kibolile Mwasuku (33) mkazi wa Kata ya Mchombe Halmashauri ya Mlimba baada ya kupatikana na hatia ya…
11 September 2025, 15:53
Wananchi wa vijiji vinavyopakana na enep la hifadhi ya Kitalu cha Uwindaji cha Makere – Uvinza wametakiwa kuheshimu mipaka iliyowekwa Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wiilaya ya Kasulu kutambulisha…
11 September 2025, 14:17
Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kuupokea mwenge wa uhuru ambao unatarajiwa kuingia Wilayani humo September 19 Na Emmanuel Kamangu Mwenge wa uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma unatarajia kutembelea miradi saba ya maendeleo. Mratibu wa…
10 September 2025, 7:42 am
Maandalizi yote ya mtihani huo yamekamilika kwa ufanisi, na kufikia jana mitihani yote ilikuwa tayari imesambazwa katika halmashauri zote za Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Afisa Elimu wa Mkoa wa Mara, Bulenga Makwasa, amesema jumla ya wanafunzi 66,102 kutoka…
9 September 2025, 10:10 pm
Amewasihi wazazi kushirikiana na walimu katika kuhakikisha watoto wanapata maandalizi bora ya mtihani, ikiwa ni pamoja na kuwaandalia mazingira tulivu ya kujisomea na kupumzika. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salumu Mtelela, kwa niaba ya Mkuu wa…
5 September 2025, 6:09 am
Sababu kuu zinazopelekea udumavu kuwa ni pamoja na lishe duni hasa katika kipindi cha za mwanzo tangu mama anapopata ujauzito hadi mtoto anapotimiza umri wa miaka miwili, Na Therezia Thomas Afisa lishe wa Halmashauri ya Mji wa Bunda kwa niaba…
4 September 2025, 6:11 pm
“Ikiwa watu wenye ulemavu watawekewa mazingi rafiki ya kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuwezesha kutokuwepo kwa mtu yoyote mwenye ulemavu kukosa fursa ya kupiga kura” Na Juma Haji. Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja Bi Mboja Hesabu ameishauri…
4 September 2025, 16:02
Ofisi ya usalama barabarani Mkoani Kigoma imesema itaendelea kutoa elimu na kuwachulia hatua za kisheria maredereva bodaboda wanaokiuka sheria za usalama barabarani Na Orida Sayon Vijana wanaofanya shughuli za usafirishaji maarufu bodaboda katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameshauriwa kufuata kanuni…
4 September 2025, 15:09
Tanzania imekuwa mojawapo ya nchi zilizo Mashariki na Kusini mwa Afrika zilizopiga hatua kubwa katika udhibiti wa utakasishaji fedha haramu na uzuiaji wa silaha za maangamizi na ufadhili wa ugaidi nchini. Na Tryphone Odace Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali Mkoani Kigoma…
3 September 2025, 8:39 pm
Jeshi la Polisi licha ya kuwa na jukumu la kuhakikisha ulinzi na usalama wa raia bado linahitaji usaidizi na ushirikiano wa jamii hasa kwenye uangalizi wa watoto Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili Jeshi la Polisi Wilaya…