Joy FM
Joy FM
14 December 2024, 8:16 pm
Na Loveness Daniel. Leo, 14 Desemba 2024, Baraza la Madiwani kutoka Kamati ya Uchumi na Fedha ya Manispaa ya Mtwara Mikindani, pamoja na wakuu wa idara na vitengo, wamefanya ziara ya kujifunza namna ya uendeshaji wa ghala la ukusanyaji wa…
13 December 2024, 7:08 am
Changamoto za kisheria zilizopo wilayani Bunda ni tatizo la migogoro ya ardhi, mirathi n.k. Na Adelinus Banenwa Wananchi wilayani Bunda wametakiwa kujitokeza na kutumia fursa ya timu ya wataalamu wa sheria kutoka kwa Rais Samia inayozunguka kusikiliza kero, ili kutatua…
11 December 2024, 4:58 pm
Na Omary Hassan. Balozi Hamad Khamis Hamad amesema ataitumia nafasi ya Ubalozi kutangaza fursa mbalimbali zinazopatikana nchini ikiwemo Utalii pamoja na kuimarisha uhusiano ili kukuza maslahi ya Tanzania. Akizungumza na Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi wa Mikoa…
11 December 2024, 4:32 pm
YAS inaendelea kutoa ofa mbalimbali kuelekea msimu huu wa kufunga mwaka ambapo zipo zawadi ambazo zinatolewa kwa washindi wa kila siku, wiki, mpaka mwezi. Na Adelinus Banenwa Wateja wa mtandao wa mawasiliano wa YAS zamani Tigo wametolewa wasiwasi kuhusiana huduma…
11 December 2024, 16:12
Ili kuwa na vionozi wenye maadili mema vijana wanapaswa kuandaliwa wakiwa bado katika umri mdogo Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana Mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya kujitegemea ili kuondokana na dhana ambayo imejengeka kwamba vijana wengi wamekuwa wapambe…
11 December 2024, 09:42
Katibu tawala Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka viongozi kuhakikisha wanafanya juhudi zote za kuwashirikisha wananchi kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maenedeleo ili kusaidia kutogomea miradi au kuhujumiwa katika maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi wa Serikali za…
9 December 2024, 15:12
Wananchi katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuhakikisha hakuna mlipuko wa magonjwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Watendaji wa kata na mitaa halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha…
9 December 2024, 12:26
Madereva wa vyombo vya moto hasa mabasi wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali hasa katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Na Josphine Kiravu – Kigoma Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani nchini DCP Ramadhani…
7 December 2024, 10:48 pm
Mradi wa uendelezaji miji TACTICS kwa mji wa Bunda utakapoanza utasaidia barabara nyinyi za bunda mjini Kupata lami. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amesema mradi wa uendelezaji miji TACTICS kwa mji wa…
7 December 2024, 9:53 pm
Zao la pamba limepoteza kabisa ushawishi kwa wakulima kutokana na changamoto zake kwa sasa likiwemo suala la bei, pamoja na uzalishaji hafifu wa zao hilo. Na Adelinus Banenwa Kikao cha kama ya ushauri ya wilaya ya Bunda DCC kilichoketi tarehe…