Joy FM
Joy FM
4 March 2025, 13:42
Vitendo vya ukatili vinavyofanywa na wanafamilia au ndugu wa karibu na sehemu kubwa ya vitendo hivyo havitolewi taarifa kwenye vyombo vya sheria ambapo vimepelekea ongezeko la ukatili katika jamii Na Lucas Hoha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
4 March 2025, 9:23 am
Mwili wa mtoto huyo umeopolewa na askari wa zimamoto na uokoaji walikuwa eneo la tukio tangu March 2, 2025 walipopata taarifa za tukio hilo. Na Adelinus Banenwa Mtoto Angel Wilson 8 mwanafunzi wa darasa la pili shule ya msingi Kataryo…
3 March 2025, 15:15
Askofu Mkuu wa Kanisa la FPCT Tanzania amesema viongozi wa dini hawana budi kusimama imara na kuwa waadilifu katika kuwatumikia waumini wao. Na Hagai Ruyagila Viongozi wa dini katika Kanisa la FPCT Jimbo la Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa waadilifu…
3 March 2025, 12:13
Siku ya wanawake duniani ilianza kutokana na jitihada za wanawake 15,000 mwaka 1908 walioandamana mjini New York Marekani wakidai kupunguziwa muda wa kufanya kazi, ujira wa kuridhisha na haki ya kupiga kura. Na Lucas Hoha Makamu wa Rais wa Tanzania…
3 March 2025, 7:49 am
Kikundi hicho kilianzishwa tangu mwaka 2021 na kilianza katika dhima ya kusaidia watu misibani na kusaidia batibabu kwa wale wanaougua lakini hawana uwezo wa kwenda hospitali. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha pesa taslimu shilingi milioni moja laki sita na elfu…
2 March 2025, 9:33 pm
Mara nyingi malalamiko ya wananchi yamekuwa ni kwenye bidhaa za mihogo, viazi, tambi sukari miongoni mwa bidhaa zingine. Na Adelinus Banenwa Wafanyabiashara wilayani Bunda wametakiwa kujiepusha na upandishaji holela wa bei ya bidhaa za chakula katika kipindi hiki cha mwezi…
2 March 2025, 11:55 am
Afisa uthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Busokelo Bi,Asha Kibiki akiwa ofisini kweke [picha na Peter Tungu] katika kwendana na mabadiliko ya sanyasi na teknolojia jamii imetakiwa kuendana na mabadiliko hayo ili kuweza kuanda watoto kuweza kujiajili BUSOKELO- MBEYA Na…
27 February 2025, 16:41
Serikali imeendelea kufikisha huduma kwa wananchi kwa kujenga miradi ya mbalimbali ya maendeleo ili kusaidia wananchi kupata huduma za uhakika. Na Hagai Ruyagila Kamati ya siasa CCM mkoa wa Kigoma imefanya ziara ya kutembelea miradi minne ya maendeleo katika halmashauri…
27 February 2025, 4:02 pm
Fedha hizo zikipitishwa kama zilivyopendekezwa zitakwenda kutelezeza hatua tofauti za ujenzi wa miundombinu ya barabara kama vile ujenzi wa barabara mpya, ujenzi wa mitaro, uwekaji wa taa za barabarani maeneo ya senta pamoja na ujenzi wa madaraja na karuvati. Na…
26 February 2025, 8:33 pm
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewapongeza wazazi na waleza wa shule za sekondari za Sazira na Sizaki kwa kuchanga chakula cha wanafunzi shuleni. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha…