Joy FM
Joy FM
4 June 2025, 12:15
Watoto wenye mahitaji maalum wamepewa sare za shule wilayani Kasulu. Na Hagai Ruyagila Wadau wa maendeleo katika Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kujitokeza kuwasaidia wanafunzi wenye mahitaji maalumu, hususan wale wenye ulemavu wa viungo, ili kuwawezesha kutimiza ndoto…
4 June 2025, 10:54 am
Bunda kuna jumla ya vikundi 31 vya ulinzi shirikishi ambavyo vipo hai na katika maeneo hayo matukio ya uharifu yamepungua kwa kiasi kikubwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa sehemu zenye vikundi vya ulinzi shirikishi yaani polisi jamii wilayani Bunda matukio…
3 June 2025, 10:18 pm
Kuwepo kwa vitendo vya rushwa ya ngono vinavyowakumba baadhi ya wanawake wakati uchanguzi ni moja ya sababu zinazopelekea kundi hilo kutofikia lengo la kuwa kiongozi na kufanya kuwa na ushiriki mdogo katika uongozi na ngazi za maamuzi. Wakizungumza na mwandishi…
2 June 2025, 15:32
Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao ili waweze kuwa afya bora. Na Michael Mpunije Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kupitia mradi wa Kigoma Joint Programme limekabidhi mashine…
29 May 2025, 7:54 pm
Kwa mujibu wa muongozo uliopo wakulima wote wa zao la pamba wamesamehewa madeni ya mkopo wa pembejeo. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewaagiza AMCOS kujiepusha na udanganyifu wa kilo za pamba kwa lengo la kukwepa…
28 May 2025, 12:18
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa afya katika kukabiliana na ugonjwa wa Malaria ambao umekuwa ukisumbumbua katika mataifa mbalimbali kusini mwa jangwa la Sahara. Na Josephine Kiravu Zaidi ya vyandarau million 1.7 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi…
26 May 2025, 16:32
Viongozi wa dini Nchini wamehimizwa kuendelea kuliombea Taifa hasa kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu. Na Josephinr Kiravu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini Kutumia majukwaa yao kuhimiza amani ikiwa ni pamoja na kusisitiza wananchi kushiriki katika…
26 May 2025, 16:18
Wakati Taifa likeelekea katika uchaguzi Mkuu, wakristo wameaswa kuendelea kuombea amani Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa kuelekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi ocktoba mwaka huu ili ufanyike kwa amani na…
26 May 2025, 16:03
“Wanapokutana wanaume wakatoliki na kufanya hafla mbali mbali ni moja ya kuendelea kujenga umoja ikiwemo kutiana moyo katika kuendelea kushiriki matendo ya huruma kwa kuwatunza wahitaji wenye shida mbalimbali” Na Mwandishi wetu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo…
24 May 2025, 8:41 pm
Ni jukumu la vijana hao kuhakikisha wanwalinda viongozi pia wanajitokeza kugombea nafasi za uongozi pindi mchakato wa chama utakapoanza Na Adelinus Banenwa Katibu wa jumuiya ya umoja wa vijana chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda Pendo Machilu amewataka vijana kuacha…