Joy FM

elimu

10 January 2025, 12:39

DED Buhigwe atakiwa kusimamia ujenzi sekondari Kahimba.

wakati shule zikitarajiwa kufunguliwa wiki ijayo jumatatu ya januari 13 ambapo maelengo ya serikali ni kuhakikisha miundombinu ya madarasa inakuwa tayari na wanafunzi kuanza kuyatumia. Na Josephine Kiravu. Katibu Tawala mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amemtaka Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri…

9 January 2025, 16:38

Bodaboda walia na kamatakamata ya polisi Kigoma

Baadhi ya madereva Bodaboda katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma wamefanya maandamano kupinga kamatakamata ya vyombo  vya  moto inayoendelea Mjini Kigoma na kuomba Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani kulitafutia ufumbuzi suala hilo. Wakizungumza na Radio Joy Fm,…

6 January 2025, 16:05

Wazazi, walezi watakiwa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili

Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwa watoto, jamii imetakiwa kuendelea kuwalinda na kuwakinga watoto na mazingira yanayoweza kuwaingiza kwenye kufanyiwa vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila -Kasulu Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili…

6 January 2025, 12:15

Wadau watakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji

Katika kuhakikisha mtoto mlemavu kupata elimu na kutimiza ndoto zao wadau wa maendeleo na wazazi kuibua na kuwatoa nje watoto hao ili kupata haki ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu mkoani Kigoni wametakiwa kuwasaidia…

19 December 2024, 9:09 am

Madereva Iringa waaswa kuongeza umakini barabarani

Na Zahara Said na Halima Abdallah Kuelekea sikukuu za Mwisho wa Mwaka, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa limewataka madereva kuwa makini pindi wanapoendesha vyombo vya moto ili kupunguza ajali barabarani. Hayo yamezungumwa na Mtahini wa…

11 December 2024, 16:12

Vijana waomba kupewa elimu ya Kujitegemea Kigoma

Ili kuwa na vionozi wenye maadili mema vijana wanapaswa kuandaliwa wakiwa bado katika umri mdogo Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana Mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya kujitegemea ili kuondokana na dhana ambayo imejengeka kwamba vijana wengi wamekuwa wapambe…

9 December 2024, 11:02 am

Magari 45 yakutwa na makosa mbalimbali Iringa

Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na timu maalum kutoka Kikosi cha Usalama barabarani Makao Makuu limefanya ukaguzi wa vyombo vya moto ambapo jumla ya magari 45 yamekutwa na makosa mbalimbali. Akizungumza kwenye operesheni hiyo…