Jamii FM

Jamii

16 May 2024, 17:46 pm

TARI Naliendele yatoa elimu ya uvunaji wa ufuta

Wakulima wanashukuru kupitia mbegu zinazozalishwa na kufanyiwa utafiti katika kituo cha Naliendele kwani wamekuwa wakipata tija kwenye uzalishaji hivyo wengine wanakaribishwa kufika na kujifunza namna bora ya uzalishaji wa zao la ufuta. Na Musa Mtepa Wakulima na wadau wa ufuta…

15 May 2024, 21:33 pm

Watuhumiwa 14 wakamatwa kuhusika na mali za wizi Mtwara

Napenda kuwajulisha wananchi kuwa mkoa wa Mtwara upo shwari dhidi ya uhalifu na Elimu ya kuzuia na kutanzua imeendelea kutolewa kwa wananchi kupitia wakaguzi wa kata katika maeneo mbalimbali ya mkoa. Na Musa Mtepa Jeshi la polisi mkoa wa Mtwara…

14 May 2024, 08:06 am

Wavuvi waliopotea baharini Mtwara bado hawajaonekana

Boti hiyo ambayo ilikwenda baharini jioni ya tarehe 9/5/2024 kwa matarajio ya kurudi asubuhi  ya tarehe 10/5/2024  lakini hawakufanikiwa kurudi baada ya kupata hitilafu na walinipigia simu kuanzia saa kumi na moja hadi saa sita mchana wakaniambia mwenyekiti simu zetu…

26 April 2024, 20:50 pm

DC Munkunda awataka wananchi kudumisha muungano

Faida za muungano wa Tanganyika na Zanziba ni nyingi kwa pande zote mbili zikiwemo za kibiashara,Uchumi na kijamii. Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara  Mwanahamisi Munkunda amewaomba wananchi  kuwa wamoja katika  kuuenzi  na kudumisha muungano wa Tanganyika na…

23 April 2024, 17:20 pm

Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP

lengo ni kuandaa jumla ya Mipango Shirikishi ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 52 katika Wilaya ya Mvomero ambapo hadi kufikia sasa tayari mipango 48 imekwishaandaliwa Na Mwandishi Wetu Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na…

22 April 2024, 16:30 pm

Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Inaonesha kumekuwa na ongezeko la vitendo vya utovu wa nidha kwa  watu wa umma wakiwa kazini ikiwemo Rushwa na upungufu wa maadili. Na Mwanahamisi Chikambu Kamishina wa utumishi umma  Balozi John Haule amewataka watumishi wa umma mkoa wa Mtwara kufanya…