Jamii FM
Jamii FM
18 December 2025, 4:56 pm
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kufika katika ofisi za Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili kufanya mabadiliko na kusahihisha taarifa zao za awali ambazo sio sahihi katika Vitambulisho vyao vya taifa NIDA. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na…
17 December 2025, 3:47 pm
Maagizo hayo yanatokana na kauli iliyotolewa na mamlaka ya hali ya hewa Tanzania TMA hivi karibuni juu ya utabiri wa muelekeo wa msimu wa mvua za vuli na mvua za msimu kwa kipindi cha Oktoba 2025 hadi Desemba 2025 na…
10 December 2025, 4:12 pm
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa hafla fupi ya utiaji saini Mkataba wa ununuzi wa Miche ya Tufaa baina ya Mkoa wa Dodoma na Kampuni ya Tamtam Tanzania ya Mkoani Iringa katika Ukumbi wa…
3 December 2025, 5:47 pm
Mkuu wa mkoa wa manyara, Queen Sendiga, anatarajia kuanza ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi pamoja na kutemblea miradi mbalimbali na ziara hiyo itafanyika chini ya kampeni maalum iitwayo “tunavua buti ama hatuvui, tukutane saiti”, ikiwa ni muendelezo wa…
1 December 2025, 5:20 pm
Maeneo mengi katika Mkoa wa Dodoma na wilaya zake ikiwemo Dodoma, Mpwapwa, Kongwa, Bahi, Chamwino, Chemba na Kondoa yanatarajiwa kupata mvua chache hadi za wastani katika kipindi chote cha msimu. Na Mwandishi wetu.Wananchi wameendelea kupata elimu kuhusu uchaguzi sahihi wa…
21 October 2025, 3:35 pm
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Zuhura Yunus katika mafunzo ya kuongeza ujuzi kwa wakulima na wazalishaji wadogo. Picha na Selemani Kodima. Mafunzo haya yanatolewa kwa ushirikiano na Taasisi ya Utafiti…
21 October 2025, 3:21 pm
Picha ni baadhi ya wakulima wasindikizaji wa zabibu katika mafunzo ya kuongeza ujuzi Picha na Selemani Kodima. Katika mafunzo hayo yaliyofanyika Hombolo, jijini Dodoma jumla ya wakulima 70 wamepatiwa mafunzo hayo kwa ajili ya kuongeza thamani ya zao la zabibu.…
October 10, 2025, 9:54 am
Kwenye picha ni Dkt. Hokororo mtalamu wa Afya ya Akili kutoka hospitali ya wilaya ya Nyasa Hayo yameelezwa na Mtaalamu wa Masuala ya kiafya ya akili na Saikolojia, Dkt. Hokololo akizungumza na Unyanja Fm katika kipindi maalumu ambapo amesema kuwa…
9 October 2025, 3:42 pm
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa ziara yake katika eneo la Hombolo. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Aidha, amesema mradi huo ni wa mfano wa kuigwa nchini, na utawasaidia wakulima wengine kujifunza…
30 September 2025, 2:34 pm
Kupitia mradi huo, vijana wanapewa mafunzo ya kilimo chenye tija, ujasiriamali, elimu ya fedha, na uelewa wa mnyororo wa thamani wa mazao. Na Seleman Kodima. Licha ya sekta ya kilimo kuchangia ajira kwa Watanzania kwa Asilimia 65.5, bado imeendelea kukumbwa…