Shule
March 8, 2024, 3:58 pm
Dkt. Mzava awataka walimu kutoa malezi bora kwa wanafunzi shuleni
Walimu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwalea wanafunzi katika mienendo mizuri ili kupambana na mmomonyoko wa maadili unaoendelea kushamili nchini. Na Neema Nkumbi-Huheso FM Wito huo umetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Shinyanga Dkt. Christina Mzava alipotembelea Shule ya…
July 25, 2023, 1:59 pm
John Gabriel aeleza changamoto anazopitia baada ya kupata ajali
Mwanaume huyu anayejulikana kwa jina la John Gabriel Mandale mkazi wa kata ya Shunu wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejikuta anapitia matatizo makubwa baada ya kupata ajali na kupasuka kichwa alipokuwa akitekeleza majukumu yake ya kikazi huko mkoani Geita Mgodini hali…
July 4, 2023, 2:51 pm
Madiwani manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundombinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi.
November 17, 2022, 6:29 pm
Wanafufunzi kidato cha nne watakiwa kuepuka udanganyifu
Wanafunzi wa kidato cha nne wilayani Kahama mkoani Shinyanga waliotahiniwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne wametakiwa kuepuka udanganyifu kwenye chumba cha mtihani ulioanza hii leo Novemba 14, 2022. Wito huo umetolewa leo Novemba 14,2022 na mkuu wa…
November 9, 2022, 10:12 am
Wananchi Nyandekwa waunga juhudi za maendeleo
Wananchi wa vitongoji vya kigungumli na baseka vilivyopo nyandekwa manispaa ya kahama mkoani shinyanga wameungana kwa ajili ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika maendeleo kwa kuitisha harambee yenye lengo la ujenzi wa shule ya msingi. Hatua…
August 5, 2022, 5:59 pm
Madiwani Manispaa ya Kahama waiomba halmashauri kutenga bajeti ya barabara
Madiwani wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba halmashauri kutenga bajeti ambayo itasaidia kurekekebisha miundo mbinu ya barabara zilizopo katika kata ili kupunguza changamoto hiyo kwa wananchi. Wameyasema hayo leo katika kikao cha baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa…
July 22, 2022, 11:29 am
Wananchi Kahama watakiwa kushiriki zoezi la sensa
Wananchi Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kushiriki zoezi la sensa ya watu na makazi litakalofanyika Agosti 23, 2022. Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga leo Julai 21, 2022 wakati akizungumza na HUHESO fm amesema maandalizi…
July 14, 2022, 6:03 pm
Ukarabati wa soko la Malunga kukamilika baada ya wiki mbili
Zoezi la ukarabati miundombinu ya soko la Malunga Mansipaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya gulio linaendelea na linatarajiwa kukamilka wiki mbili zijazo. Akizungumza na Huheso Fm leo julai 14, 2022 Mwenyekiti wa masoko na magulio manispaa ya…
July 6, 2022, 8:02 pm
Maafisa Manispaa ya Kahama wapatiwa pikipiki za utekelezaji majumu yao
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga imegawa jumla ya pikipiki 19 kwa Maafisa kilimo, Bibi maendeleo ya jamii na watendaji katika Kata za Manispaa hiyo Akizungumza baada ya zoezi la ugawaji wa pikipiki hizo Mstahiki Meya wa Manispaa ya…