Uncategorised
27 April 2024, 16:39
Highlands FM wanolewa matumizi ya teknolojia, maadili
Tadio imekuwa ikitoa mafunzo mara kwa mara kwa wafanyakazi wa redio wanachama wake na kwa sasa inatoa mafunzo ya utangazaji wa mtandaoni hususani matumizi ya mitandao ya kijamii na maadili ya uandishi wa habari. Na John Ilomo Mhariri wa Radio…
25 April 2024, 18:31
Latra mbeya kutatua changamoto za abiria
22 March 2024, 16:46
TBL yajitosa kutunza mazingira
Na Samwel Ndoni,Mbeya Wakazi wa jiji la Mbeya wameshauriwa kupanda miti rafiki na maji ili kukabiliana na tishio la mabadiliko ya tabianchi ambayo yameendelea kuathiri mazingira na vyanzo vya maji nchini. Wito huo umetolewa na Meneja wa kiwanda cha kuzalisha…
21 March 2024, 14:57
CST yatenga Sh 2b kupiga jeki elimu Nyanda za Juu Kusini
Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Mbeya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Chilid Support Tanzania imezindua mradi wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2 mradi wa “Peleka Rafiki zangu Shule” mradi unaolenga kuendelea kutoa mafunzo ya elimu kwa walimu…
19 February 2024, 11:07
Madereva bajaji wanawake wadai kufanyiwa ukatili
Na Mwanaisha Makumbuli, Mbeya Madereva bajaji wanawake katika halmashauri ya jiji la Mbeya wamelalamika kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia na baadhi ya wanaume ikiwemo kutolewa lugha za fedheha na matusi, kitendo kinachowakatisha tamaa na kujiona hawastahili kufanya shughuli hiyo.…