wanawake viongozi
27 November 2023, 2:11 pm
Majengo waeleza kunufaika na mikopo
Uwepo wa Taasisi za kifedha zinazojihusisha na utoaji wa mikoo kwa wajasiliamali imechangia kukuza biashara zao na kupata kipato cha kuendesha familia. Na Khadija Ibrahim. Wafanyabiashara katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma wameeleza kunufaika kiuchumi kutokana na mikopo inayotolewa…
18 July 2023, 6:30 pm
Wananchi waeleza umuhimu na faida za vikundi
Baada ya kuwepo kwa mfululizo wa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kujiunga katika vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa sasa wananchi wameelewa umuhimu wa vikundi hivyo . Na Aisha Shaban. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameeleza juu ya…
30 March 2023, 6:14 pm
Vijana wazungumzia changamoto za mikopo halmashauri
Vijana hao wamesema kuwa kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa kwani wanatumia muda mwingi kufuatilia fedha hizo. Na Victor Chigwada . Baadhi ya vijana wa kutoka Wilaya ya Chamwino wamezungumzia changamoto wanazozipata katika Halmashauri pindi wanapoenda kuchukua mikopo inayotengwa na serikali…
16 November 2022, 12:19 pm
Ukubwa wa riba kikwazo kwa wakopaji mikopo
Na; Eva Enock. Imeelezwa kuwa ukubwa wa riba pamoja na elimu juu ya matumizi sahihi ya fedha za mikopo ni miongoni mwa sababu zinazopelekea baadhi ya watu kushindwa kurejesha mikopo. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi jijini Dodoma wakati wakizungumza…
28 June 2022, 8:09 am
Ukosefu wa Elimu ya mikopo wakwamisha marejesho Bahi.
Na;Mindi Joseph. Vikundi vya wanawake na watu wenye ulemavu katika halmashauri ya Bahi Mkoani Dodoma vimeshindwa kurejesha mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 58.28. Chanzo cha kushindwa kurejesha mikopo hiyo kinatajwa kuwa ni kutokuwa na elimu ya ujasiriamali na namna…
14 September 2021, 1:58 pm
Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia katika uongozi mbalimbali hapa Nchini unawezeka…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa usawa wa kijinsia katika nafasi mbalimbali za uongozi hapa nchini unawezekana kwa kuwa Rais Samia Suluhu Hassani anaonesha nia ya dhati katika kufikia hilo kutokana na teuzi mbalimbali anazozifanya. Hayo yameelezwa na mratibu wa mradi…