Dodoma FM

walemavu

5 April 2022, 1:27 pm

Watu wenye ulemavu watakiwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali

Na; Shani Nicolous.                                      Watu wenye ulemavu wametakiwa kuacha kukaa na kuomba misaada badala yake watafute shughuli za kufanya ili wawezeshwe kufanikisha shughuli zao. Wito huo umetolewa na Bw. Stephano Nyange Bobo mkazi wa Nzuguni ambaye ni mlemavu wa viungo…

16 February 2022, 3:55 pm

Jamii yatakiwa kuwapa ushirikiano watu wenye ulemavu

Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa  kuelewa kuwa wapo baadhi ya watu wenye ulemavu ambao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika jamii kutokana na kupewa ushirikiano kutoka katika jamii. Akizungumza na taswira ya habari katibu mkuu wa shirikisho la watu wenye ulemavu…

7 December 2021, 9:40 am

Watu wenye ulemavu waitaka jamii kuacha unyanyapaa

Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameitaka jamii kuacha dhana potofu ya unyanyapaa na kuwaona ni watu wasioweza kujieleza pale wanapofika katika maeneo kutoa huduma mbalimbali . Rajabu Mpilipili ni mkurugenzi wa taasisi ya Youth with disabilities organization na joyce…