![](https://radiotadio.co.tz/dodomafm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/dodomafm/wp-content/uploads/sites/10/2020/11/images-1-150x150.png)
24 July 2024, 4:19 pm
Ni fursa zipi za kiuchumi ambazo vijana wanaziona katika chaguzi zijazo na zinazoweza kuwanufaisha. Na Fred Cheti.Vijana wameshauriwa kuzichangamkia fursa za kiuchumi kwa njia halali ambazo zitatokana na ujio wa chaguzi zijazo ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu…
18 July 2024, 3:19 pm
Vijana ni nguvu kazi ya taifa hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao katika kutunza na kuhifadhi mazingira pia kuwa mabalozi wazuri wa mazingira. Na Mariam KasawaVijana wa vyuo vikuu wametakiwa kutunza mazingira kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo upandaji miti na uanzishaji…
July 4, 2024, 4:39 pm
Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa…
20 March 2024, 4:50 pm
Katika kufahamu hilo ,Taswira ya habari imezungumza na Charles Ruben Afisa Miradi wa Taasisi ya DOYODO anaelezea ushiriki wa Vijana katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Mwandishi wetu. Mwaka 2024 Tanzania tutashuhudia Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambapo Vijana…
18 March 2024, 12:36 pm
Mabwawa ya asili yanatumika kufugia samaki na mara nyingi bwawa la asili linaweza kupatikana ama kuwezekana kuundwa maeneo yenye udongo wa mfinyanzI na udongo huu una sifa kubwa ya kuhifadhi maji. Na Mindi Joseph. Uwepo wa Bwawa Mtwango katika Mtaa…
20 January 2022, 4:36 pm
Na; Thadei Tesha. Taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zimetakiwa kushirikiana na viongozi wa dini ili kuwasadia vijana katika kuwapa mbinu mbalimbali za maisha ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya viongozi wa dini kutoka sehemu…
29 November 2021, 1:05 pm
Na; Shani Nicolous. Vijana wametakiwa kupunguza tabia hatarishi za maisha zinazosababisha kuogopa kupima Virus vya Ukimwi. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya kutoka katika taasisi ya COHASO Teobad Abdon amesema kuwa vijana wengi wanajihusisha na mahusiano na watu…
15 September 2021, 2:12 pm
Na;Mindi Joseph. Mbunge wa Dodoma Mjini Mh Athony mavunde amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi pindi wanapopata nafasi ya kuaminiwa kufanya kazi Kwenye Taasisi mbalimbali Nchini. Akizungumza na taswira ya Habari Mh Mavunde amesema vijana wanapopewa jukumu la kufanya kazi…
7 May 2021, 12:42 pm
Na; FREDY CHETI . vijana nchini wameshauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo ili waweze kujiajiri na kuendesha maisha yao. Wito huo umetolewa na Bi. Lucy Madala mtaalamu wa kilimo kutoka chuo kikuu cha kilimo (SUA) wakati akizungumza…
21 April 2021, 12:27 pm
Na; Mariam Matundu . Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka vyuo mbalimbali wametajwa kuwa miongoni mwa vijana ambao bado hawana ujasiri wa kuzungumza masuala ya afya ya uzazi kwa uwazi. Hayo yamesemwa na kijana, mwanafunzi wa chuo cha…