Dodoma FM

vijana

18 March 2024, 12:36 pm

Bwawa Mtwango Ndachi lainua vijana kiuchumi

Mabwawa ya asili yanatumika kufugia samaki na mara nyingi bwawa la asili linaweza kupatikana ama kuwezekana kuundwa maeneo yenye udongo wa mfinyanzI na udongo huu una sifa kubwa ya kuhifadhi maji. Na Mindi Joseph. Uwepo wa Bwawa Mtwango katika Mtaa…

20 January 2022, 4:36 pm

Taasisi zatakiwa kuwapatia vijana mbinu za kujikwamua kiuchumi.

Na; Thadei Tesha. Taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zimetakiwa kushirikiana na viongozi wa dini ili kuwasadia vijana katika kuwapa mbinu mbalimbali za maisha ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya viongozi wa dini kutoka sehemu…

29 November 2021, 1:05 pm

Vijana watakiwa kupunguza tabia hatarishi

Na; Shani Nicolous. Vijana wametakiwa kupunguza tabia hatarishi za maisha zinazosababisha kuogopa kupima Virus vya Ukimwi. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya kutoka katika taasisi ya COHASO Teobad Abdon amesema kuwa vijana wengi wanajihusisha na mahusiano na watu…

15 September 2021, 2:12 pm

Mbunge wa Dodoma mjini amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi

Na;Mindi Joseph. Mbunge wa Dodoma Mjini Mh Athony mavunde amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi pindi wanapopata nafasi ya kuaminiwa kufanya kazi Kwenye Taasisi mbalimbali Nchini. Akizungumza na taswira ya Habari Mh Mavunde amesema vijana wanapopewa jukumu la kufanya kazi…

7 May 2021, 12:42 pm

Vijana nchini washauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo

Na; FREDY CHETI .                                          vijana nchini wameshauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo ili waweze kujiajiri na kuendesha maisha yao. Wito huo umetolewa na Bi. Lucy Madala mtaalamu wa kilimo kutoka chuo kikuu cha kilimo (SUA) wakati akizungumza…