vijana
20 March 2024, 4:50 pm
Bado tunatazama Ushiriki wa Vijana kwenye Uchaguzi wa serikali za mitaa
Katika kufahamu hilo ,Taswira ya habari imezungumza na Charles Ruben Afisa Miradi wa Taasisi ya DOYODO anaelezea ushiriki wa Vijana katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Mwandishi wetu. Mwaka 2024 Tanzania tutashuhudia Uchaguzi wa Serikali za mitaa ambapo Vijana…
18 March 2024, 12:36 pm
Bwawa Mtwango Ndachi lainua vijana kiuchumi
Mabwawa ya asili yanatumika kufugia samaki na mara nyingi bwawa la asili linaweza kupatikana ama kuwezekana kuundwa maeneo yenye udongo wa mfinyanzI na udongo huu una sifa kubwa ya kuhifadhi maji. Na Mindi Joseph. Uwepo wa Bwawa Mtwango katika Mtaa…
20 January 2022, 4:36 pm
Taasisi zatakiwa kuwapatia vijana mbinu za kujikwamua kiuchumi.
Na; Thadei Tesha. Taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zimetakiwa kushirikiana na viongozi wa dini ili kuwasadia vijana katika kuwapa mbinu mbalimbali za maisha ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya viongozi wa dini kutoka sehemu…
29 November 2021, 1:05 pm
Vijana watakiwa kupunguza tabia hatarishi
Na; Shani Nicolous. Vijana wametakiwa kupunguza tabia hatarishi za maisha zinazosababisha kuogopa kupima Virus vya Ukimwi. Akizungumza na Taswira ya habari mtaalamu wa afya kutoka katika taasisi ya COHASO Teobad Abdon amesema kuwa vijana wengi wanajihusisha na mahusiano na watu…
15 September 2021, 2:12 pm
Mbunge wa Dodoma mjini amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi
Na;Mindi Joseph. Mbunge wa Dodoma Mjini Mh Athony mavunde amewataka vijana kufanya kazi kwa weledi pindi wanapopata nafasi ya kuaminiwa kufanya kazi Kwenye Taasisi mbalimbali Nchini. Akizungumza na taswira ya Habari Mh Mavunde amesema vijana wanapopewa jukumu la kufanya kazi…
7 May 2021, 12:42 pm
Vijana nchini washauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo
Na; FREDY CHETI . vijana nchini wameshauriwa kujihusisha na shughuli za kilimo ili waweze kujiajiri na kuendesha maisha yao. Wito huo umetolewa na Bi. Lucy Madala mtaalamu wa kilimo kutoka chuo kikuu cha kilimo (SUA) wakati akizungumza…
21 April 2021, 12:27 pm
Elimu ya Afya ya uzazi fumbo kubwa kwa vijana wasio na uelewa
Na; Mariam Matundu . Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka vyuo mbalimbali wametajwa kuwa miongoni mwa vijana ambao bado hawana ujasiri wa kuzungumza masuala ya afya ya uzazi kwa uwazi. Hayo yamesemwa na kijana, mwanafunzi wa chuo cha…