Dodoma FM
Dodoma FM
1 December 2025, 1:26 pm
Jamii yaaswa kuachana na mitazamo hasi dhidi ya watoto wenye mahitaji maalumu. Na Elizabeth Mafie Hai -Kilimanjaro Jamii imetakiwa kuondoa mitazamo hasi ya kuwaficha watoto wenye mahitaji maalumu, kwani watoto hao wana uwezo wa kujitegemea na kusimama wenyewe iwapo watapata…
6 November 2025, 5:12 pm
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) iliweka mipango bora iliyowezesha watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu kwa amani na bila ya vikwazo vyovyote. Na Ivan Mapunda. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, Abdulwakili H. Hafidhi, ameipongeza…
6 November 2025, 1:57 pm
Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Raya Issa Mselem, ametangaza matokeo hayo mara baada ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura lililofanyika katika kikao cha kwanza cha Baraza jipya lililofanyika Chukwani, Zanzibar. Na Mary Julius. Zuberi Ali Maulid amechaguliwa kwa mara…
4 November 2025, 9:19 pm
Si kila anayeshindwa anakata tamaa wengine hufanya kushindwa kuwa ngazi ya mafanikio.”Jifunze kutoka kwa safari ya Jamila, mwanamke shupavu aliyeamua kuandika ukurasa mpya wa uongozi unaojenga mshikamano na matumaini Na Ivan Mapunda. Katika medani ya siasa za Zanzibar, jina la…
21 October 2025, 2:46 pm
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha limewataka wananchi kujiepusha kusambaza taarifa za uzushi na uongo hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wan chi uliopangwa kufanyika Oktyoba 29 mwaka huu Kauli hiyo imetolewa na Kamishna msaidizi wa polisi Salvas…
17 October 2025, 6:26 pm
Na Berema Suleiman Nassor. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Shaibu Ibrahim Mohammed amewataka vijana kuwa mstari wa mbele katika kudumisha amani na utulivu wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.…
15 October 2025, 12:00 am
Na Mwandishi wetu. Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuunda Tume Maalum itakayofanya tathmini ya kina kuhusu…
13 October 2025, 4:34 pm
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…
October 4, 2025, 9:01 pm
Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika leo, Jumamosi tarehe 04 Oktoba 2025, katika viwanja vya Shule ya Msingi Levolosi, Wilaya ya Arusha. Maadhimisho haya yamekusanya washiriki mbalimbali wakiwemo walimu, wanafunzi wa…
30 September 2025, 10:31 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amesema jumla ya watu 8,325 wameondolewa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura baada ya kubainika kuwa hawana sifa, wakiwemo waliothibitishwa kufariki dunia. Akizungumza katika…