Ujenzi
16 February 2024, 5:13 pm
Halmashauri zatakiwa kuanza ujenzi miradi ya Afya na Elimu
Katika shule ya Msingi Makulu, mkuu wa mkoa amekagua mradi wa ujenzi wa vyumba Vitano vya madarasa, ofisi 2 za walimu uliogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 100 na ujenzi wa matundu ya vyoo 12 kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu…
10 March 2022, 2:38 pm
TBA yatakiwa kuharakisha mchoro wa jengo la ofisi
Na; Mariam Matundu. Katibu mkuu wizara ya maendeleo ya jamii ,jinsia ,wanawake na makundi maalumu Dkt Zainabu Chaula amewaomba wakala wa majengo ya serikali (TBA) kuharakisha taratibu za kupata mchoro wa jengo la ofisi za wizara hiyo ili ujenzi uanze…
20 December 2021, 1:53 pm
Ujenzi wa eneo la machinga wazinduliwa jijini Dodoma
Na; Thadey Tesha. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh Antony Mtaka Amezindua ujenzi wa eneo la wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga lililopo Bahi Road lenye uwezo wa kuchukua wamachinga zaidi ya 3800. Akizungumza katika uzinduzi huo mh Mtaka amesema kukamilika…
26 November 2021, 1:53 pm
nyumba 150 za watumishi umma zimeanza kujengwa eneo la nzuguni
Na;Mindi Joseph . Jumla ya nyumba 150 za watumishi wa umma katika eneo la Nzuguni zimeanza kujenga kupitia Miradi inayotekelezwa na wakala wa majengo Tanzania TBA jijini Dodoma huku zikitarajiwa kukamilika mwezi June 2022. Akizungumza katika Ziara ya viongozi wa…
19 August 2021, 12:52 pm
Wakazi wa Chitabuli watakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja na bara…
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chitabuli Kata ya Membe Wilayani Chamwino wametakiwa kujiandaa kupokea mradi wa ujenzi wa daraja pamoja na barabara inayounganisha Kijiji hicho na Kijiji cha Membe. Akizungumza na Taswira ya Habari Diwani wa Kata ya…
19 July 2021, 10:35 am
Wakazi wa kijiji cha Nholli kuanza ujenzi wa zahanati
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Nholi kata ya Mpalanga wilayani Bahi wamekabidhiwa mifuko miatatu ya saruji kwaajili ya ujenzi wa zahanati.Wakizungumza na taswira ya habari wakazi wa kijiji hicho wamemshukuru mbunge wa jimbo la Bahi mh. Kenneth Nollo…
29 January 2021, 9:28 am
Wananchi Matumbulu walilia kituo cha Polisi
Na,Victor Chigwada, Dodoma. Wananchi wa Kata za Matumbulu na Mpunguzi jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwajengea kituo kidogo cha Polisi ili kukabiliana na matukio mbalimbali ya kihalifu. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa katika Kata nzima wana askari…
5 January 2021, 3:21 pm
Wananchi Chilonwa waomba kukarabatiwa daraja
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…